MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Lucy Komba ambaye hivi
karibuni alifunga ndoa na Janus Stanley, raia wa Denmark, amesema kuwa
ameamua kunyoa rasta zake alizozifuga kwa muda mrefu kwa kile alichodai
matakwa ya ndoa
.Akizungumza na mwandishi wetu, Lucy alisema kuwa ameamua kunyoa nywele zake hizo kwa kuwa anaona ni mke wa mtu anatakiwa kubadilika na kuwa tofauti kidogo na alivyokuwa huko nyuma.
“Unajua lazima kuwe na tofauti kidogo, zamani na sasa, hivyo nimeamua kunyoa kuleta utofauti,” alisema Lucy.
.Akizungumza na mwandishi wetu, Lucy alisema kuwa ameamua kunyoa nywele zake hizo kwa kuwa anaona ni mke wa mtu anatakiwa kubadilika na kuwa tofauti kidogo na alivyokuwa huko nyuma.
“Unajua lazima kuwe na tofauti kidogo, zamani na sasa, hivyo nimeamua kunyoa kuleta utofauti,” alisema Lucy.
0 comments: