LOVENESS DIVA ATANGAZA NIA YAKE YA KUGOMBEA UBUNGE MWAKA 2015

Na hichi ndicho alichokiandika mtangazaji huyo
 
Natangaza nia ya kugombea ubunge mwaka 2015 na kuingia kwenye siasa rasmi 2015, kama kijana nina mengi ya kul isaidiataifa na jamii inayotuzunguka yenye vijana wengi, i want to inspire, motivate and my voice to be heard i want to speak up and there is no turning back GOD IS GOOD i need all strength and i got a big sopport in this from my close friend Solidarity madaraka kwa umma huo ndo ujumbe alioandika Diva ingawa bado hajaweka wazi ni jimbo gani atakalogombania. Ikiwa mtangazaji huyo atafanikiwa kuingia bungeni atakua ni mmoja kati ya watangazi walioingia katika siasa wakiwa na umri mdogo

Share on Google Plus

0 comments: