Akizungumza jana Dar es Salaam kwa simu, Ray C alisema ameamua kumrudia Mungu na kuachana na mambo ya kidunia kutokana na mengi
kumsibu katika kipindi chote cha ujana wake.
“Nimebatizwa rasmi katika kanisa la Siloam na nalishika neno na kutenda neno katika maisha yangu mapya, shetani hana nafasi tena katika maisha yangu, nimepewa mamlaka na Mungu nimkanyage wala asinizoee kamwee Ameeen,” alisema.
0 comments: