MATUKIO MUHIMU KATIKA MIAKA 50 YA UMOJA WA AFRICA

  • Zulu Tänzer bei der Gründungszeremie der AU in Durban, Südafrika 2002 ALEXANDER JOE/AFP/Getty Images

    Matukio muhimu katika miaka 50 ya Umoja wa Afrika

    Kutoka OAU hadi AU

    Lakini Gaddafi hafanikiwa. Badala yake mpango wake ulizusha mgawanyiko zaidi baada ya kubadilisha kutoka Umoja wa nchi Huru za Afrika (OAU) kwenda Umoja wa Afrika (AU), huko mjini Durban Afrika Kusini
    mwaka 2002, ambapo yalijitokeza makundi yanayounga mkono na kumpinga. Muongozo wa kuanzishwa kwa AU uliondoa sera ya zamani ya kutoingilia kati masuala ya nchi. Hapa ni picha ya uzinduzi wa AU.
Share on Google Plus

0 comments: