
Mkoa unaojitawala wenyewe Somalia, Puntland umesema umesitisha uhusiano
wake na serikali kuu ya taifa hilo kwa kuituhumu kukataa pendekezo la
kugawana madaraka na serikali kuu ya Somalia.
Sudi Mnette amezungumza na Mbunge Hussein Bantu aliyeko Mogadishu na
kwanza alitaka kujua hatua hiyo wameipokeaje
TLAND YASITISHA UHUSIANO WAKE NA SERIKALI YA ? Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman
TLAND YASITISHA UHUSIANO WAKE NA SERIKALI YA ? Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman
0 comments: