Matukio muhimu katika miaka 50 ya Umoja wa Afrika
Sera ya ukombozi wa kijeshi
Licha ya kanuni zake kwamba hali ya mipaka inabaki bila kuguswa, OAU
iliitambua Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Sahara (Sahara
Magharibi), iliyotangazwa na Chama cha Polisario. Hii ilipelekea nchi ya
Morokko kujitoa katika umoja huo, na hadi wakati huu, imeendelea kuwa
nchi pekee ya kiafrika iliyojitoa katika umoja huo kwa hiari.CHANZO DW
0 comments: