KUMBE AVRIL WA KENYA NI KAMA WEMA KWA SKENDO

IMEBAINIKA kuwa, mwanamuziki ambaye aliwahi kudaiwa kutoka kimapenzi na Nasibu Abdul ‘Platnumz’, Avril Nyambura ni staa anayetingisha kwa skendo nchini Kenya lakini anapendwa ile mbaya.



chanzo cha habari ambacho kinaishi nchini Kenya kililiambia Ijumaa hivi karibuni kuwa, Avril kwa skendo anatisha lakini cha ajabu ni staa wa kike anayewavutia wengi nchini humo.


AVRIL
“Yaani Avril ni kama Wema wa Kenya, anatisha kwa skendo, kila siku magazeti yanamuandika na hivi karibuni aliandamwa na ishu ya usagaji, cha ajabu anapendwa sana. Yaani ni kama ilivyo kwa Wema wa Tanzania,” alisema mdau huyo.
Share on Google Plus

0 comments: