MAFUNDISHO YA MUNGU NA MTUMISHI WA MUNGU JOSEPHAT .E. MWINGIRA


DARASA/CHUMBA CHA MAFUNDISHO: ''Mkalimani Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, Efatha Ministry.
(Darasa linaendelea lilipoishia...)

"Usifurahi unakula tu ugali na kushiba wakati wengine wanasaza, wana nyumba nzuri, magari mazuri na maisha yao ni mazuri na yenye baraka; watoto wao wanasoma shule nzuri na wanapendeka maana wanafaulu vizuri; ukoo wao unatukuka! Lakini wewe hata ujitahidi, mbele huendi, kulikoni? Mwenye haki ana mateso mengi lakini BWANA humponya nayo yote.

Leo BWANA Atajifunua kwako kubali kufungua moyo wako."

(Usikose Darasa, Huu ni wakati wa USHINDI wako, Ni Neema hii kwako)
Share on Google Plus

0 comments: