KAZI BADO NZITO LIGI KUU YA ENGLAND MSIMU HUU NANI KUTWAA TAJI HILO



Ligi kuu ya England sasa imekuwa ni kitendawali nani kutwaa taji hilo katika msimu huu mgumu. Ligi hiyo yenye mashabiki wengi Duniani kutokana na umaarufu wa tumu zinazoshiri ligi hiyo imekuwa yenye kitendawili kikubwa baada ya mfumo mzima wa ushindi kubadilika.
Ligi hyo imekuwa ngumu kwa mashabiki kutabiri kutokana na ushindani mkubwa unaoonyeshwa na timu hizo pinzani.haya ni maelezo tu kuhusu timu hizo je we unaisi nani anafaa kutwa taji hilo la Ligi kuu ya England msimu huu?
Share on Google Plus

0 comments: