Staa wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph ‘Baby
Madaha’ ameomba pambano la ngumi dhidi ya Jacqueline Wolper ili waweze kumaliza
ubishi wa bifu lao.
Akipiongea na mwandishi wetu, Baby alisema,
amechoshwa kusikia tambo za
mpinzani wake huyo hivyo kama kweli ni mwanamke, wakutane kwa ngumi ili
amuoneshe cha mtema kuni.Akipiongea na mwandishi wetu, Baby alisema,
0 comments: