Matukio muhimu katika miaka 50 ya Umoja wa Afrika
Ushiriki mpya katika kuleta amani
Mwanzoni mwa karne mpya, asilimia 20 ya wakaazi wa Afrika walikuwa wameathiriwa na vurugu zinazotokana na migogoro. Hivyo amani ilikuwa suala muhimu kwa
Umoja wa Afrika, na mwaka 2004 umoja huo uliunda baraza la amani na usalama, ambalo lilipewa jukumu la kuunda kikosi cha kuingilia kati migogoro. Katika mwaka huo, baraza hilo lilituma wanajeshi kulinda raia katika jimbo la Darfur nchini Sudan.
0 comments: