ZIARA YA OBAMA YAFUNIKWA NA MANDELA, WATUWENGI HAWAKUMLAKI BADALA YAKE WAMEJAZANA HOSPITALINI KWA MANDELA

.
ANGALIA PICHA....OBAMA NA MKEWE WAKIWA WAMEVAA VAZI LA KIASILI LA KIZULU 
Ziara ya Rais wa Marekani Obama imeingia doa nchini Afrika kusini baada ya watu wengi kutirilika Hospitalini alipolazwa mzee Mandela badala ya kwenda uwanja wa ndege kumlaki Rais huyo amabae hujio wake umekuwa na na maandalizi makubwa Barani Afrika ambako amepanga kutembelea nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania
Share on Google Plus

0 comments: