TANESCO WALIA NA WEZI WA UMEME

Maofisa wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO), Mkoa wa Kinondoni Kaskazini, wakijiaandaa kukata umeme katika nyumba namba 604, Mtaa wa Msisiri Mwananyamala baada ya kubaini wizi wa umeme katika nyumba hiyo, ambapo pia ilikutwa mita ilitoka eneo jingine bila idhini ya shirika. (Picha na Charles Lucas)
Share on Google Plus

0 comments: