WALIMU KOBORESHEWA MAISHA ILI KUBORESHA MSINGI MZURI WA ELIMU
shule hiyo yenye wanafunzi zaidi ya 2000 ilianzishwa mwaka 1963 huku baadhi ya viongozi na watu maarufu nchini wengi wao wakiwa wamepata elimu yao ya sekondari katika shule hiyo.Akiongea kwa jazba leo mkoani Arusha mbunge wa Arusha mjini Godbless alisema walimu ni lazima waboreshewe msingi mzuri wa maisha yao ili waweze kuwapatia wanafunzi misingi mizuri ya elimu.Moja kati ya wliopata elimu yao ya sekondari ni waziri mkuu mstaafu na mbunge wa munduri Mh Edward Lowasa
About author: Unknown
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: