Muigizaji
aliyepo kwenye list A ya waigizaji wa filamu Tanzania, Vincent Kigosi
aka Ray ameamua kuzungumza baada ya watu kuanza kumzushia anaumwa
kutokana na kupungua mwili wake kwa kiasi kikubwa.Ray amezikanusha tetesi hizo zili......zoanza kusambaa kwa haraka ambapo
gazeti la udaku la Kiu wiki hii lilikuwa na habari isemayo, ‘Ray
apukutika mwili’ – Kitambi chote kwishnei! Ukimuona unaweza kumpita bila
kumtambua, maombi ya wakatoliki yahusishwa.
Hata hivyo Ray amesema hali hiyo imetokana na kufanya mazoezi zaidi siku za hivi karibuni. “Jamani kwani unene ndio afya au kupungua ndio ugonjwa,” ameuliza Ray.
Hata hivyo Ray amesema hali hiyo imetokana na kufanya mazoezi zaidi siku za hivi karibuni. “Jamani kwani unene ndio afya au kupungua ndio ugonjwa,” ameuliza Ray.
0 comments: