Profesa Jay na Lady Jaydee wanapokutana siku zote huwa hapaharibiki
kitu, ni hit tu. Baada ya miaka mingi kupita, nguli hao wamekutana tena
na guess what, this time hakuna amani kabisa kati yao, ni Joto na Hasira
tu.
Unakumbuka Profesa Jay ameshawahi kumshirikisha Jide kwenye nyimbo
zake mbili zilizohit sana enzi zake, Bongo Dar es Salaam na Nimeamini?
Lakini kumbukumbu zetu hazituambii kama tulishawahi kusikia wimbo ambao
Lady Jaydee amemshirikisha Profesa Jay. Hivyo huenda huu ndio ukawa wa
kwanza.
Kupitia Facebook jana Lady Jaydee aliandika:
Naomba ku share muonekano wa ndani wa CD ya wimbo wangu mpya “JOTO,
HASIRA” feat Prof |
0 comments: