Chuo hiko kipo katika kisiwa cha Ukelewe pia inasemekana kina watu wengi nakinafundisha masomo ya Kareti,Kungfu,na utumiaji wa majambia.Chuo kina watu wa lika tofauti wakubwa kwa wadogo na watu wanaao fika chuoni hapo wanaonekana wa kutisha,chuo kinafadhiliwa na kikundi cha alquaeeda.,watu wanaofika hapo pia huwa wanakuja na majambia pamoja ni mizigo ya kanzu.Gazeti lako la Mtanzania pia lina habari hizi kwa urefu zaidi.Hizi ni baadhi ya picha za kisiwa cha ukerewe Mwanza
![]()  | 
| uhu ni usafiri ambao utumika kwa safaari kisiwani hapo | 
![]()  | 

MAGAZETI YA LEO TAREHE 20/02/2013

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.


0 comments: