![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQfKgb6XqmNlZfj7p5cThYR64liDOWr5sN1o5rXPVc_IpKywC5IVEI2y7GKs4apZwt4Xv2sEv4yzI1M4HDTdA7MI8V_S819_xFE3W8XOdUNv2ygEE4lWQX-bcaknstz095SYEnduMI0Pkt/s640/Freeman-Mbowe.jpg)
Ni
kwamba chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kwenye mkutano wake wa
mwisho licha ya kutumia SATELLITE kurekodi mikutano yake,
imethibitika kuwa chama hicho kilitumia mtambo maalum wa mawasiliano
kurekodi..... mkutano wake wa mwisho katika uwanja wa soweto Arusha. Mtambo
huo ambao unauwezo wa kurekodi matukio kwa masaa 72 mfululizo bila
kuhitaji chaji, ulifungwa sehemu maalum ili kuweza kunasa matukio
yaliyokuwa yanaendelea kwenye mkutano.
0 comments: