Hatimaye Lionel Messi achaguliwa mchezaji bora wa mwaka 2015

Ikiwa ni awamu ya tano kwa MCHEZAJI Lionel Messi kutwaa taji hilo ambapo taji la kwanza alitwaa mwaka  2009, mwaka 2010 alifanikiwa kutwaa kwa mara nyingine taji hilo ,2011 akashinda tena nafasi hiyo kwa mara ya tatu na 2012 akashinda tena kwa Mara ya nne na sasa amechukua tena kwa mara ya tano Kama Mchezaji bora duniani kwa mwaka 2015 japokuwa Rolnaldo alikua ndio Mchezaji mwenye magoli mengi kuliko wenzake lakini jopo la  makocha na waandishi pamoja na viongozi wa timu ndio waliomchagua Messi kuwa MCHEZAJI bora. Rinaldo alionekana kwenye hali ya kawaida baada ya kutangazwa kwa Messi kuwa mshindindi wa tuzo hizo huku Neymar pia hakionyesha kupokea matokeo kwenye hali ya kawaida tofauti na ilivyofikiriwa kuwa wangepaniki.

Share on Google Plus

0 comments: