WALIOTUMWA KUILIPUA URUSI WAKAMATWA



Kitengo cha kimataifa cha upelelezi Nchini Urusi FSB, kinasema kuwa kimewazuilia raia 25 wa Ukraine, kikiwalaumu kwa kupanga mashambulio ya kigaidi mwezi uliopita wakati jimbo la
Crimea lililoko Ukraine lilipokuwa likiandaa kura ya maoni.
Share on Google Plus

0 comments: