VIONGOZI WA KUNDI LA M23 KUFIKISHWA ICC

  Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Uganda Henry Okello Oryem
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje ,wa Uganda Henry Okello Oryem, amesema huenda baadhi ya viongozi wa waasi wa M23, wakafikishwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu kwa tuhuma za kuhusika na uhalifu dhidi ya binaadamu.
Grace Kabogo amezungumza na mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Uganda, Ali Mutasa, ambapo kwanza alitaka kujua iwapo hatua hiyo inatokana na shinikizo lolote kutoka nje, hasa ikizingatiwa kuwa waasi wa M23 walikimbilia Uganda kwa usalama wao, nchi ambayo imekuwa ikidaiwa kuwasaidia waasi hao.
Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Grace Patricia Kabogo
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman
Share on Google Plus

0 comments: