Watu waliozaliwa na kukulia katika maeneo ya pembezoni mwa Ziwa
Tanganyika wana wakati mgumu, kwani ziwa hilo linakabiliwa vitisho sita
vinavyoliathiri na ambavyo vinayagusa moja kwa moja maisha ya watu hao.

Sudi Mnette anaangazia maisha ya watu waliomo kwenye bonde hilo, ambalo linazihusisha nchi za Tanzania, Zambia, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Burundi.
Kusikiliza makala haya, tafadhali bonyeza alama ya spika za
0 comments: