MATUKIO MUHIMU KATIKA MIAKA 50 UMOJA WA AFRIKA

  • Die Kommissionschefin der Afrikanischen Union (AU), Nkosazana Dlamini-Zuma bei einem Gipfel der AU in Addis Abeba am 16.07.2012. (c) dpa - Bildfunk+++
pixel

    Matukio muhimu katika miaka 50 ya Umoja wa Afrika

    Mwanamke ulingonMwaka 2012 Nkosazana Dlamini-Zuma alichaguliwa kuwa mwanamke wa kwanza kuiongoza Halmashauri ya Afrika, ambayo ndiyo ofisi ya juu kabisaa katika Umoja wa Afrika (AU). Waziri huyo wa zamani wa mambo ya ndani wa Afrika Kusini alileta sauti mpya katika Umoja wa Afrika, kwa mujibu wa waangalizi waliotoa maoni yao kuhusu siku zake mia moja za kwanza ofisini.

Share on Google Plus

0 comments: