PICHA ZA MAANDAMANO YA AMANI YALIYOFANYWA NA CHADEMA KUELEKEA OFISI YA MKURUGENZI WA JIJI ARUSHA

Wafuasi wa CHADEMA wakishangilia ushindi katika maandamano ya amani ya madiwani wapya na viongozi kwenda kumpongeza Mkurugenzi wa jiji kwa kusimamia uchaguzi vizuri.,


Lema akiwa na madiwani wapya wakiingia katika jingo la Halmashauri kuonana na Mkurugenzi wa jiji Wafuasi wa Chadema wakiandamana kuelekea katika ofisi za Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kwenda kumpongeza kwa kusimamia vizuri uchaguzi wa Madiwani. ( Picha na Ferdinand Shayo)
Share on Google Plus

0 comments: