MATUKIO MUHIMU KATIKA MIAKA 50 YA UMOJA WA MATAIFA

Burundische Soldaten bei der Beerdigung des Präsidenten Melchior Ndadaye, der bei einem Putsch 1993 ums Leben kam ALEXANDER JOE/AFP/Getty Images


Matukio muhimu katika miaka 50 ya Umoja wa Afrika

Majeshi yasiyopendwa

Mwanzoni mwa miaka ya 1990, OAU ilikuja na sera mpya: Afrika ilitaka kushughulikia migogoro yake yenyewe. Hii ilipelekea kuanzishwa kwa utaratibu wa amani. Yalipofanyika mapinduzi nchini Burundi mwaka 1996, OAU ilichukua hatua kwa kuiwekea vikwazo nchi hiyo. Kwa ujumla utaratibu huo umeendelea kuwepo lakini una udhaifu mkubwa sana na moja ya sababu ni kutokana na umoja huo kukosa fedha .
Share on Google Plus

0 comments: