HIVI NDIVYO RAIS KIKWETE ALIVYOFUNGA MKUTANO WA MARAIS WA AFRICA MASHARIKI HUKU RAIS MSTAAFU WA MAREKANI GEORGE BUSH,MKEWE LAURA NA MKE WA TONY BLAIR WAKIUZURIA
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais mstaafu wa Marekani George W. Bush
na mkewe Laura, mke wa Rais, Mama Salma Kikwete, wakati wa ufunguzi wa
mkutano wa wake wa Marais wa Afrika Mashariki leo, July 2, 2013, Hoteli
ya Serena jijini Dar es Salaam. (Picha zote na Ikulu)
Wageni
mbalimbali, wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete, wakati
akiufungua mkutano wa wake wa Marais wa Afrika Mashariki leo, July 2,
2013 katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiufungua mkutano wa wake wa Marais wa Afrika
Mashariki leo, July 2, 2013, Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
0 comments: