Miili ya Mashujaa wetu
iliwasili eneo la tukio tayari kwa maagano
Familia, Ndugu, Jamaa na
Marafiki wa Mashujaa wetu walikuwepo
Viongozi,
Wafanyabiashara na watu maarufu walikuwa miongoni watu waliopata fursa ya
kuwaaga mashujaa wetu
Wanajeshi walikuwa bega
kwa bega toka mwanzo
Hali ilivyokuwa
Zanzibar
Tutawakumbuka daima....
RIP Mashujaa wetu
PTE. Fortunatus Wilbard
Msofe.
PTE. Peter Muhiri
Werema.
PTE. Rodney Gido
Ndunguru.
CPL. Mohamed
Chukilizo.
CPL. Mohamed Juma
Ally.
CPL. Osward Paul
Chaula
SGT. Shaib
Othman
0 comments: