MFALME MASWATI III NAE AINGIA TANZANIA KUSHIRIKI KATIKA MKUTANO WA KIMATAIFA WA SMART PERTINER SHIP



Mfalme Mswati III akiwa sambamba na Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal sambamba na Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe


Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mfalme Mswati II wa Swizland baada ya kuwasili nchini jana kuhudhuria mkutano wa ‘Smat Patnership’, unaotarajia kuanza kesho. Kushoto ni Mke wa Mfalme huyo.

Wasaidizi wa Mfalme Mswati wakimsubiri Mfalme huyo baada ya kukanyaga ardhi ya Tanzania
Share on Google Plus

0 comments: