HUYU NDIYE PANYA ANAYEGUNDUA MABOMU TANZANIA
Shirika moja lisilo la kiserikali la Ubelgiji APOPO limeanza
kuwafundisha panya namna ya kutambua mabomu yaliyofukiwa ardhini. Panya
hao ambao ni wakubwa kuliko panya wa kawaida wanafanyiwa majaribio
Morogoro Tanzania .Inaaminika wanauwezo mkubwa wa kunusa kuliko mbwa.
Hii inatokana na kuwa pua zao zipo karibu na ardhi,hali ambayo
inawasaidia katika kazi yao ya utambuzi wa mabomu.
About author: Unknown
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: