MAAJABU YA MBUZI MLEVI HAYA HAPA


Mbuzi wa ajabu ajulikanaye kwa jina la ‘Mawimbi’.
YULE mbuzi aliyetikisa Jiji la Dar mwaka jana kutokana na maajabu yake ya kunywa pombe, chai, mtori, kula chapati, kufanya mapenzi na wanawake na kadhalika, ameibua mengine mapya.
 Mbuzi huyo aliyekuwa akimilikiwa na Julius Mawimbi, Mkazi wa Ukonga Mazizini, Dar es Salaam, ameibua maajabu mapya kwa namna alivyofikwa na mauti kisha kuzikwa mithili ya binadamu.

Imebainishwa kwamba Mawimbi alijulishwa kuhusu kifo cha.....

mbuzi wake akiwa safarini,
Share on Google Plus

0 comments: