Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Profesa Anna Tibaijuka
akikata utepe wakati wa uzinduzi wa hoteli mpya yenye hadhi ya nyota 4
ya palace jijini Arusha jana.Wanaoshuhudia ni Naibu Waziri wa Maliasili
na Utalii,Mh. Lazaro Nyalandu,Mkurugenzi Mkuu wa NHC,Bw. Nehemia
Mchechu na kulia mmiliki wa hoteli hiyo Dr.Hans Macha. waziri wa ardhi
nyumba na maendeleo ya makazi Profesa Anna Tibaijuka akiangalia jiwe
la msingi baada ya uzinduzi wa hotel yenye hadhi ya nyota 4 Palace
hoteli iliyopo katikati ya jiji la Arusha. WAZIRI wa ardhi nyumba na
maendeleo ya makazi Profesa Anna Tibaijuka akikata keki yenye taswira
ya jengo la hotel(from Arusha yetu blog)
PROFESA ANNA TIBAIJUKA AZINDUA HOTEL YA NYOTA NNE JIJINI ARUSHA
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Profesa Anna Tibaijuka
akikata utepe wakati wa uzinduzi wa hoteli mpya yenye hadhi ya nyota 4
ya palace jijini Arusha jana.Wanaoshuhudia ni Naibu Waziri wa Maliasili
na Utalii,Mh. Lazaro Nyalandu,Mkurugenzi Mkuu wa NHC,Bw. Nehemia
Mchechu na kulia mmiliki wa hoteli hiyo Dr.Hans Macha. waziri wa ardhi
nyumba na maendeleo ya makazi Profesa Anna Tibaijuka akiangalia jiwe
la msingi baada ya uzinduzi wa hotel yenye hadhi ya nyota 4 Palace
hoteli iliyopo katikati ya jiji la Arusha. WAZIRI wa ardhi nyumba na
maendeleo ya makazi Profesa Anna Tibaijuka akikata keki yenye taswira
ya jengo la hotel(from Arusha yetu blog)
About author: Unknown
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: