Kiasi cha asilimia 90 ya watu wazima wanaume wa Somaliland wanatafuna mirungi wakitafuta 'mirqaan' - neno la Kisomali linalomaanisha nishai - inayoweza kupatikana kwenye kileo hiki. "Marafiki zangu hunikopesha pesa," alisema Abdikhalid alipoulizwa anawezaje kupata mirungi ilhali hana kazi. "Nikipata kazi tu, nitarejesha fadhila."
Asilimia 90 ya watu wazima wanaume wa Somaliland wanatafuna mirungi
Kiasi cha asilimia 90 ya watu wazima wanaume wa Somaliland wanatafuna mirungi wakitafuta 'mirqaan' - neno la Kisomali linalomaanisha nishai - inayoweza kupatikana kwenye kileo hiki. "Marafiki zangu hunikopesha pesa," alisema Abdikhalid alipoulizwa anawezaje kupata mirungi ilhali hana kazi. "Nikipata kazi tu, nitarejesha fadhila."
About author: Unknown
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: