MSWADA WA MABADILIKO YA KATIBA WAPIGWA VITA


Vyama vya upinzani jana vilifanya mkutano mkubwa kuwashawishi wananchi kupinga kile walichokiita kuhujumiwa kwa mchakato wa Katiba Mpya, wakitangaza Oktoba 10 kuwa siku ya Watanzania wote kushiriki katika maandamano kushinikiza wapewe haki ya kuandaa Katiba yao.
Wakizungumza kwa kupokezana katika Viwanja vya Jangwani, jijini Dar es Salaam jana, wenyeviti wa vyama vya Chadema, NCCR-Mageuzi na CUF, walieleza kuwa wataendelea kushirikisha taasisi za kiraia kupinga hujuma dhidi ya mchakato wa Katiba Mpya na kwamba hawatakubali endapo Rais Jakaya Kikwete atasaini Muswada wa Marekebisho ya Mabadiliko ya Katiba Mpya.
Akizungmza katika mkutano huo Mwenyekiti wa CUF, Profesa Lipumba alisema chama chake hakitakubali endapo Rais Kikwete atasaini muswada huo kwa kuwa una lengo la kupata Katiba Mpya isiyokuwa na tija kwa taifa. Alisema kuwa Katiba inayoandaliwa ni kwa ajili ya Watanzania wote na siyo kundi la watu, hasa CCM na kwamba mchakato wa kuwapata wajumbe 166 wa Bunge la Katiba kutoka makundi mbalimbali siyo sahihi.
“Haiwezekani kila taasisi ikateuwa wajumbe tisa ambao majina yao yatakwenda kuchakachuliwa na usalama wa taifa, kisha kupata majina ya watu wanaowataka wao, kitu hiki kama CUF hatutakubali,” alisema Profesa Lipumba na kuongeza:
“Hatutarudi nyuma na kukubali kuendelea na mchakato huu endapo Rais atasaini muswada huu. Tutaendeleza harakati za kupinga kwani bila hivyo tutapata Katiba Mpya isiyokuwa na tija.”
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia alisema kuwa ni wakati wa kukaa meza moja ya mazungumzo kuondoa tofauti zilizopo ili kulinusuru taifa kuingia katika machafuko.
Alisema kama taifa, linatakiwa kujifunza kutoka mataifa mengine yalivyotokea maafa katika michakato ya kuandikwa kwa Katiba Mpya.
“Ni wakati wa kukaa meza moja, kwa kushirikisha wadau mbalimbali kwani Katiba inayotafutwa ni ya Watanzania wote na siyo ya CCM,” alisema Mbatia na kuongeza:
“Lazima tupate Katiba Mpya kwa gharama yoyote ile, iwe ndani au nje ya Bunge ili kuhakikisha tunapata Katiba ya Watanzania wote.”
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alisema kosa kubwa katika kudai haki ni woga na hatutapata Katiba Mpya kama tutaendelea kuwa taifa la watu wenye hofu. Tunataka kukutana na makundi mbalimbali katika jamii ambayo ni viongozi wa dini, wasomi na watu wa makundi mengine kuwaeleza kinachoendelea sasa hivi.
Hata migogoro ya kiimani baina ya Wakristo iliyotokea nchini imesababishwa na katiba iliyopo sasa, kama Rais atasaini wao hawatashiriki Bunge la Katiba na watatumia kila mbinu iliyopo duniani kuueleza umma nini kimetokea na hawataendelea kunyenyekea vitisho vya Jeshi la Polisi.
Tunalaani mchakato wa katiba kuhodhiwa na chama kimoja na tunatangaza Oktoba 10, mwaka huu kuwa ni siku maalumu ya kudai katiba na sasa hawataenda tena Ikulu kwani inaaminika huko ni kwenda kunywa chai na watatangaza maandamano nchi nzima.

0 comments:

Most people can survive for up to 2 months without eating, but people can only live up to 11 days without sleeping.

 
Most people can survive for 
up to 2 months without eating,
but people can only live 
up to 11 days without sleeping.

0 comments:

AU KUJADILI HOJA YA KUJIONDOA ICC

 
Viongozi wa Afrika wanatarajiwa kukutana mwezi ujao mjini Addis Ababa Ethiopia, kujadili msimamo wa bara hili kuhusu iwapo watajiunga na Kenya katika kujiondoa kutoka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifiu - ICC.
Mkutano huo unafuatia ombi la Kenya kutaka kikao cha dharura cha Umoja wa Afrika kujadili kesi zinazowakabili Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto.
Mwandishi wa BBC mjini Addis Aabab, Emmanuel Igunza anasema kuna dalili kuwa ombi hilo la Kenya limeanza kuungwa mkono na mataifa mengi barani.
Kwa sasa hakuna dalili kuwa kuna msimamo mmoja kuhusu ikiwa wanachama 54 wa Muungano wa Afrika waliotia saini mkataba wa Roma wanataka kujiondoa, lakini marais wa nchi hizo bado watajadili uwezekano wa wanachama 34 wa mkataba wa Roma uliounda mahakama ya ICC watajiondoa ICC.
Tangu kuanza kwa kesi ya Naibu rais wa Kenya William Ruto katika mahakama ya ICC wiki jana, na ile ya Rais Kenyatta ikitarajiwa kuanza mwezi Novemba, dalili zimeonekana kuwa wengi hawana imani na mahakama hiyo wakiiona kama chombo cha nchi za Magharibi kukandamiza waafrika.
Kikao cha dharura sasa kimepangwa kujadili swala hilo baada ya Kenya kuonekana kutaka kuungwa mkono katika azma yake ya kujiondoa ICC.
Kuna uwezekano wa nchi wanacahama wa mkataba wa Roma kujiondoa ICC lakini bado kuna nafasi ya maombi mengine kufanywa kuhusiana na hilo.

0 comments:

Sleeping on the job is acceptable in Japan, as it's viewed as exhaustion from working hard.

 Sleeping on the job is acceptable in Japan, as it's viewed as exhaustion from working hard.

0 comments:

ORODHA YA SILAHA ZA SUMU SYRIA HUWENDA ZIKATOLEWA LEO

Rais Bashar al-Assad wa Syria amesisitiza utayarifu wa serikali yake kukabidhi silaha za kemikali za nchi hiyo, na wakati huo huo akatahadharisha kwamba zoezi la kuziharibu laweza kuchukua muda mrefu, na fedha nyingi.
Rais wa Syria Bashar al-Assad Rais wa Syria Bashar al-Assad
Hayo Rais Assad aliyasema katika mahojiano na televisheni ya kimarekani, Fox News ambayo yamefanyika wakati wanadiplomasia katika Umoja wa Mataifa wakijadili mswada wa azimio linaloweza kuidhinisha mpango wa Urusi na Marekani, kuhusu kuharibiwa kwa silaha za kemikali za Syria ambazo kulingana na sheria ya kimataifa zimepigwa marufuku.
Kuhusu zoezi la kuziharibu silaha hizo, Assad alisema litachukuwa muda na kugharimu pesa nyingi, na kuiwekea changamoto Marekani.
''Litagharimu pesa nyingi, takribani dola bilioni moja, na litakuwa hatari kwa mazingira. Kama serikali ya Marekani iko tayari kulipa fedha hizo, na kubeba jukumu la kuzipeleka kemikali za sumu nchini Marekani, basi ifanye hivyo.'' Amesema Assad.
Mhanga wa al-Qaida
Akionekana mwenye kujiamini, rais Bashar al-Assad alisisitiza kwamba Syria haighubikwi na vita vya wenyewe kwa wenyewe, bali ni mhanga wa makundi ya wapiganaji yenye kuungwa mkono na kundi la al-Qaida, ambao alisema wamejipenyeza ndani ya nchi yake.
Assad amedai asilimia 90 ya waasi ni washirika wa al-Qaida Assad amedai asilimia 90 ya waasi ni washirika wa al-Qaida
Alikiri lakini kuwa vuguvugu la mageuzi nchini mwake lilianzishwa na wanaharakati wasio na msimamo mkali wa kiislamu, na kudai kwamba kuanzia mwishoni mwa mwaka 2012, harakati hizo zilikuwa zimetekwa nyara na wanamgambo wenye itikadi kali ya kidini. Kulingana na maelezo yake, kwa sasa asilimia kati ya 80 na 90 ya wapiganaji wa upinzani ni washirika wa mtandao wa al-Qaida.
Aidha katika mahojiano hayo rais Assad alisema Syria itatekeleza ahadi ya kukabidhi silaha zake za kemikali kwa jumuiya ya kimataifa, licha ya kukanusha shutuma kwamba serikali yake iliamuru mashambulizi ya kutumia silaha hizo tarehe 21 Agosti, karibu na mji mkuu Damascus.
Bado hakuna muafaka wa kidiplomasia
Rais Assad akijibu mashambulizi kupitia vyombo vya habari, majadiliano ya kidiplomasia juu ya mswada wa azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu silaha hizo za kemikali za Syria bado hayajapata muafaka.
Juhudi za kidiplomasia zinaendelea katika Umoja wa Mataifa kuhusu silaha za Syria Juhudi za kidiplomasia zinaendelea katika Umoja wa Mataifa kuhusu silaha za Syria
Mpango wa Marekani na Urusi kuhusu silaha hizo utapata mtihani mkubwa Jumamosi wiki hii, ambao utakuwa mwisho wa muda wa wiki moja uliotolewa kwa Syria kutoa orodha kamili ya silaha zake na mahali zinakopatikana.
Katika mahojiano na televisheni ya Fox News, rais Assad alisema orodha hiyo anaweza kuitoa hata kesho, na Urusi imesema imehakikishiwa na serikali ya Damascus kwamba itatoa ushirikiano ipasavyo.
Marekani, Uingereza na Ufaransa zimetayarisha mswada wa azimio ambalo linaruhusu matumizi ya nguvu dhidi ya Syria ikiwa itakaidi kuzikabidhi silaha zake za kemikali, lakini mswada huo hautoi kitisho cha moja kwa moja cha mashambulizi, wala cha vikwazo.
Naye katibu mkuu wa shirika la kujihami la NATO, Anders Fogh Rasmussen, amesema leo kuwa anaamini ni muhimu juhudi za kidiplomasia kuhusu Syria ziendelee kusindikizwa na uwezekano wa mashambulizi ya kijeshi.
Nchini Syria kwenyewe hali imeendelea kuwa ya wasiwasi, baada ya kundi moja la waasi lenye mafungamano na al-Qaida kuukamata mji mmoja ulio kwenye mpaka baina ya Syria na Uturuki.
Mwandishi: Daniel Gakuba/AFPE/APE

0 comments:

MTOTO WA GADDAFI AFIKISHWA MAHAKAMANI

Mtoto wa kiume wa dikteta wa Libya aliyeuwawa Moamer Gaddafi Alhamisi (19.09.2013) amefikishwa mahakamani katika mji wa Zintan kwa mashtaka ya kuvuruga usalama na kesi yake imeahirishwa hadi tarehe 12 mwezi wa Disemba.
Saif al-Islam Gaddafi . Saif al-Islam Gaddafi .
Seif al-Islam pia alikuwa anatarajiwa kufikishwa katika mahakama ya Tripoli kwa ajili ya kutajwa kwa kesi yake ya mashtaka ya usalama kuhusiana na uasi wa mwaka 2011 uliompinduwa baba yake lakini kuna wasi wasi iwapo waasi wa zamani waliomteka na kumshikilia huko Zintan watakubali kumpeleka Tripoli.
Mwendesha mashtaka wa Libya Abdulqader Radwan hapo Jumatano aliamuru Seif al -Islam ahamishiwe katika mahakama ya Tripoli kutoka ya Zintan ilioko kilomita 180 kusini magharibi mwa nchi hiyo.
Mrithi huyo wa zamani wa uongozi wa Gaddafi na washtakiwa wengine zaidi ya 30 akiwemo kiongozi wa zamani wa ujasusi Abdullah al Senussi wanashtakiwa kwa madai ya uhalifu waliofanya wakati wa uasi wa mwaka 2011 uliomn'gowa madarakani Gaddafi.
Kesi muhimu katika historia ya Libya
Waziri Mkuu wa zamani wa Libya Al-Baghdadi Ali Al-Mahmoudi. Waziri Mkuu wa zamani wa Libya Al-Baghdadi Ali Al-Mahmoudi.
Baghdadi al -Mahmudi waziri mkuu wa mwisho katika kipindi cha Gaddafi na Mansur Daw ambaye alikuwa akiiongoza Kikosi cha Ulinzi cha Wananchi pia ni miongoni mwa washtakiwa katika mojawapo ya kesi muhimu kabisa ya kisheria katika histroria ya Libya.
Mwendesha mashtaka wa Libya Radwan ameuambia mkutano wa wandishi wa habari kwamba wametuma agizo la kuhamisha kesi hiyo katika mahakama ya Tripoli kwa mamlaka zinazoshugulikia watu wanaohusishwa na kesi nambari 630 akiwemo Sef al-Islam.Inaripotiwa kwamba mazungumzo yalifanyika hadi usiku wa manane hapo jana kwa ajili ya kumhamisha Seif mjini Tripoli kwa masaa kadhaa.Duru zilizo karibu na kesi hiyo zimesema suala hilo litategemea zaidi hali ya usalama.
Mashtaka makuu yanayowakabili watuhumiwa ni pamoja na mauaji yaliofanyika wakati serikali ilipokuwa ikipambana na uasi ambao ulizuka katika mji wa mashariki wa Benghazi hapo mwezi wa Februari mwaka 2011.
Seif al-Islam yuko mikononi mwa serikali
Saif al-Islam baada ya kutekwa kwake mwaka 2011. Saif al-Islam baada ya kutekwa kwake mwaka 2011.
Gaddafi alitekwa na kuuwawa na waasi katika mji alikozaliwa wa Sirte mwezi wa Oktoba mwaka huo.
Mtoto wake huyo wa kiume alitekwa mwezi uliofuatia na kundi la waasi wa zamani kutoka eneo la milimani la Zintan na amekuwa akishikiliwa huko tokea wakati huo.Serikali ya sasa ya nchi hiyo ya Afrika Kaskazini ilijaribu mara kadhaa kutaka kuhamishiwa Tripoli kwa mtoto huyo wa Gaddafi bila ya mafanikio.
Hata hivyo serikali hiyo imekuwa ikisisitiza kwamba Seif al-Islam anashikiliwa na serikali.
Wakati huo huo shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu Amnesty International limetaka kukabidhiwa haraka kwa Seif al Islam na Senussi kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu.
Shirika hilo limesema mfumo wa mahakama nchini Libya unatakiwa kufanyiwa mageuzi makubwa na kuna wasi wasi mkubwa juu ya uwezo wa serikali kuhakikisha kesi zinafanyika kwa haki kutokana na kuwepo kwa hali mbaya ya usalama nchini humo.
Jumla ya nyaraka 40,000 na kurasa 4,000 za maelezo ya usaili zitazingatiwa na mahakama ambayo itasikiliza kesi hiyo katika eneo la siri katika mji mkuu wa Libya.
Iwapo watuhumiwa watapatikana na hatia wanaweza kuhukumiwa adhabu ya kifo.
Mwandishi : Mohamed Dahman/AFP

0 comments:

Lack of sleep can cause weight gain of 2 pounds (0.9 kg) in under a week.

Lack of sleep
can cause weight gain
of 2 pounds (0.9 kg)
in under a week.

0 comments:

Before alarm clocks were invented, there were "knocker-ups" who went tapping on client's windows with long sticks until they were awake.

 Before alarm clocks were invented, there were "knocker-ups" who wenttapping on client's windows with long sticks until they were awake.

0 comments:

MAGEREZA IWE NI SEHEMU YAKUANZA MAISHA


Ni jambo la kawaida kabisa kwamba taarifa zozote kuhusu Magereza nchini mwetu hazitakosa kugusia  msongamano wa wafungwa. Hali mbaya ya magereza na matatizo  lukuki kutoka kwenye chombo hiki muhimu kimojawapo cha Mfumo wa Haki Jinai (criminal justice system) ya nchi hii.
Sasa hivi unaposoma makala haya, idadi ya wafungwa Magerezani ni 34,587 (18.09.13) ambao ni mfuriko wa wafungwa uliozidi   idadi inayostahili kuwamo ndani ya Magereza kwa idadi ya 5,080.
Hivi karibuni pia Jaji Mkuu Othmani Chande wakati akifungua mafunzo kwa mahakimu ya Haki za Binadamu alidokeza pia umuhimu wa uharakishaji wa kusikiliza kesi za mahabusi ili kupunguza msongamano ndani ya Magereza.  Suala la msongamano wa wafungwa katika magereza yetu ni ukiukwaji wa haki za binadamu, alisema Jaji Mkuu.  Je, tutatokaje hapo?
Hivi karibuni gazeti hili lilitoa makala  iliyobeba jina “Magereza zinapofanishwa na jehanamu” lilijaribu kuelezea hisia za watu kwa chombo chao hiki ambacho kinapaswa kuwa ni eneo la mafunzo bora ya urekebishwaji wa wafungwa badala yake. Kulingana na makala  hayo iliyoandikwa na Dismas Lyassa, kwa namna inavyoonekana, ni kwamba Magereza yametumika zaidi kuwaharibu wafungwa na matokeo yake ni kwamba wafungwa asilimia 25 ya wanaoachiliwa hurudi tena gerezani.
Ni bahati mbaya kwamba si wengi, pamoja na wanasiasa wenyewe  wanaojua nafasi ya Magereza katika kuimarisha usalama wa raia na mali zao.  Fikiria tu uwezekano siku moja wafungwa 1600 walioko sasa hivi  Gereza la Ukonga wavunje gereza na kuingia mitaani, je, jiji la Dar es Salaam litakuwa na usalama? Kwa wale wenye kumbukumbu nzuri watakambuka mwaka 1978/9  Gereza la Ukonga, wafungwa walipovunja gereza  wakiongozwa na jambazi Nyau  walivyotesa jiji la Dar es Salaam.
Kazi kubwa ya Jeshi la Magereza ni urekebishaji wa tabia za wafungwa ili kuwawezesha kujiunga na jamii kama raia wema  mara baada ya kumaliza vifungo vyao.  Kwa maana nyingine, kazi ya Magereza ni kudhibiti urudiaji (recidivism) wa wafungwa Magerezani na hivyo kuwafanya raia wema kuishi bila bugudha.
Ebu fikiria tena kwa mfano ule ule wa Gereza la Ukonga; iwapo wafungwa hao watatoka  gerezani kama walivyoingia bila ya urekebishaji wowote.   Wakitoka gerezani watakuwa na  uwezekano wa kushawishi wenzao wasiokuwa na kazi wajiunge na vikundi vyao ni dhahiri kwa jinsi hiyo ungezeko la uhalifu litazidi na  Magereza yatafurika kama ilivyo sasa na pia usalama wa raia utakuwa  shakani. 
Tafiti zinaonyesha kwamba endapo mfungwa anaweza kugunduliwa vishawishi vinavyo msababisha kutenda kosa (criminogenic factors) uwezekano ni mkubwa kabisa akipata tiba ya urekebishaji inayolenga kwenye tatizo lake anaweza kuacha uhalifu na kuwa raia mwema. Urekebishaji huchukuliwa kama tiba ya hospitali na ni muhimu kubainisha kwa uhakika wa tatizo ili kutoa tiba sahihi inayohusika.
Hii ndiyo kazi ambayo Jeshi letu la Magereza inapaswa kufanya na si kazi ndogo kama inavyodhaniwa.  Inataka kwanza  kuwe na utashi wa kisiasa ili kuwe na mabadiliko ya kifikra, kuwekeza katika vitendea kazi na rasilimali watu wa kutoa hiyo taaluma ya urekebishaji. 
Dhana hii  ya urekebishaji wa wafungwa ni mpya baada ya kugundulika kwamba utaratibu uliopo wa uendeshaji wa Magereza hausadii  urekebishaji wa wafungwa.  Badala yake utaratibu tulio nao unaongeza uhalifu na husababisha msongamano ndani ya magereza  kama takwimu zetu zinavyoonyesha, urudiaji wa vifungo ni asilimia 25 na msongamano ni zaidi ya 5,080
Kama nilivyodokeza hapo juu, taaluma hii  bado ni mpya, na inajulikana kama Mkakati wa Urekebishaji wa Wafungwa kwa kuzingatia tishio la uhalifu alionao  (Offender Risk Management and Correctional Strategy).   Kwa nchi zilizoendelea kama Canada, nchi za Scandinavia, Uingereza, Malaysia, Singapore, Korea, Australia, New Zealand zilikwisha anza  utaratibu huu tangu mwanzoni mwa miaka ya 80.   Kwa upande wa Afrika baadhi ya nchi tayari zimekwisha anza  utaratibu huu ambazo ni  pamoja na Afrika ya Kusini, Namibia, Zambia, Mauritius, Kenya, Nigeria na Ghana.
CHANZO MWANANCHI

0 comments:

JAMANI SIJAONGWA NA MTU YEYOTE NI JUHUDI NA MAFANIKIO YANGU TU: ODAMA


Miezi kadhaa ikiwa imepita tangu mtayarishaji na mwigizaji wa filamu nchini Jennifer Kyaka ‘Odama’ kuanza kumiliki vifaa vya kisasa kwa ajili ya utengenezaji filamu, amesema kitu kinachomuumiza zaidi ni kwa baadhi ya watayarishaji kuamini kwamba fedha wanazotumia waigizaji wa kike kuandalia filamu wamehongwa.
Akizungumza na gazeti hili, Odama alisema hata maendeleo yake hayajatokana na kuhongwa.
Anaongeza kuwa watayarishaji wa kike wamekuwa na changamoto nyingi sana katika uandaaji wa filamu nchini, lakini yeye ni mwanamke wa shoka kwani anajiamini kwa kile anachokifanya.
“Kinachoniumiza ni hawa wenzetu kuamini kuwa watayarishaji wa kike fedha zao za kupewa na hawana uchungu nazo, hata wakipatana na wasanii kucheza katika filamu zao gharama huwa kubwa tofauti na waandaaji wa kiume wanaonekana wahangaikaji,” alisema.
“Ninatengeneza filamu bila kutegemea nguvu ya mtu yeyote kutoka nje, ndiyo maana nimeweza kufanya kazi zenye ubora ikiwamo ‘Jicho Langu’. Unaweza kujiuliza mambo mengi sana juu ya maneno haya ‘Jicho Langu’. Hii ni filamu iliyoandaliwa chini ya kampuni ya J-Film 4 Life,” alisema Odama.
Alisema ubora wa kazi hiyo unaweza kukuzwa na Watanzania ambao watanunua kopi halali ili kukuza uchumi wa nchi na msanii. “Tatizo tunalokumbana nalo hasa ni wapenzi wa filamu kukimbia kopi halali na badala yake kununua kopi zisizo halali, mwishowe wanawafaidisha watu wengine.”
Hata hivyo, Odama alisema uamuzi alioufanya kwa kuamua kukua kisanii umempa matunda makubwa na kumfanya awe imara katika utayarishaji wa filamu bora wakati wote kwa kutumia kampuni yake ya J-Film 4 Life ambayo inaleta changamoto kwa kampuni nyingine za filamu.
“Ninapofanya kazi nikiwa nimesimama kama Odama kunakuwa na utofauti.Unapokuwa chini ya mtu au kuwa tegemezi , ni vigumu kuwa mwenye ubunifu sana na mwenye mafanikio mazuri.

0 comments:

AGNESS MASOGANGE NA MWENZAKE SASA KUJIACHIA LIVE LIVE MTAANI


Johannesburg. Watanzania Agness Masogange na Melisa Edward waliokamatwa kwa kutuhumiwa kubeba dawa za kulevya huko Afrika Kusini wameachiwa kwa dhamana.
Mkuu wa Kitengo cha Dawa za Kulevya Afrika Kusini, Kamishna Toto Mangaleni aliithibitishia Mwananchi jana kuwa watuhumiwa hao wameachiwa kwa dhamana,lakini wataendelea kubaki Afrika Kusini wakati kesi yao ikiendelea.
Mangaleni alisema wanawake hao ambao juzi pia walipanda kizimbani, walipata dhamana hiyo jana kutoka Mahakama Kuu ya Gauteng iliyoko eneo la Kempton Park jijini Johannesburg.
Hata hivyo, Kamishna Mangaleni alisema hawezi kuzungumzia zaidi kuhusu kesi hiyo kwa sababu hataki kuharibu uchunguzi ambao unaendelea dhidi ya Watanzania hao, ambao ni wasanii.
Marafiki wa karibu wa Masogange wanaoishi maeneo ya Midland Johannesburg ambao walikataa kunukuliwa majina yao, walithibitisha kuwa wanawake hao wameachiwa kwa dhamana.
“Ni kweli wameachiwa leo asubuhi. Lakini hatuwezi kuongelea kwa kina habari hizi kwa sababu hatutaki matatizo na polisi. Hii kesi bado inaendelea na wataendelea kubaki hapa hadi kesi yao itakapomalizika,” alisema mmoja wa marafiki zake.
Naye Masogange aliandika kwenye mtandao wa ‘Facebook’.
“Namshukuru Mungu nimeamini wewe ulikuwa pamoja na mimi katika maombi yangu na nashukuru kwa wote mliokuwa mkiniombea Mungu kapokea maombi yenu.”
Masogange na Melissa walikamatwa Julai 2 mwaka huu katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Oliver Tambo jijini Johannesburg wakiwa wana mabegi sita makubwa ya dawa zinazoaminika kuwa ni `Crystal Methyl Amphetamine’.
Naye Mkuu wa Kitengo cha Polisi cha Kuzuia na Kudhibiti Dawa za Kulevya, Godfrey Nzowa aliiambia Mwananchi jijini Dar es Salaam kuwa alikuwa amepata taarifa za kuachiwa kwa wasichana hao, lakini alikuwa anawasiliana na watu wa Afrika Kusini ili kupata uhakika.
Nzowa, hata hivyo alilidokeza gazeti hili juzi kuwa kuna uwezekano wanawake hao wangepata dhamana au kufungwa kifungo chepesi kwani dawa walizokamatwa nazo ni kemikali zinazotumika kutengeneza dawa za aina tofauti kwa matumizi ya binadamu ingawa pia na dawa za kulevya.
Mamlaka yapinga uamuzi wa Mahakama

0 comments:

KATIBA MPYA YAMTIA JK TUMBO JOTO AGOMA KUTIA SAINI,CHIKAWE AMUOMBA ASAINI

Wenyeviti wa vyama vya Upinzani,Freeman Mbowe wa Chadema(Kulia) na Profesa Ibrahim Lipumba wa CUF(wapili kulia)wakiagana na viongozi wa Jumuiya ya Taasisi za Kiislamu jijini Dar es Salaam jana baada ya mazungumzo kuhusu kupinga Rais kusaini Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Mabadiliko ya Katiba.

Wakati vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi vikiendelea na shinikizo la kutaka Rais Jakaya Kikwete asitie saini Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe amemwomba mkuu huyo wa nchi auridhie ili kuepusha vurugu ambazo zinaweza kujitokeza katika kikao kijacho cha Bunge.
Ameonya kuwa muswada huo ukirudi bungeni unaweza kusababisha vurugu kubwa zaidi ya zile za mara ya kwanza kutokana na tofauti kati ya wabunge wa CCM na wale wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Chikawe alisema kelele zinazopigwa na wapinzani hivi sasa hazisaidii kwa kuwa muswada huo ulipitishwa baada ya taratibu zote kukamilika.
Alisema kuwa kutokana na hali hiyo, atamshangaa Rais Kikwete ikiwa atasikiliza kelele za wapinzani kwa sababu walishirikishwa kupitia kamati na hata bungeni kabla ya kupitishwa kwake.
“Nitamshangaa sana Rais Kikwete kama atashindwa kusaini muswada huo kwa sababu ya kelele za wapinzani. Tuliwashirikisha katika kila mchakato kabla na baada ya kuuwasilisha bungeni,” alisema Chikawe.
Alisema kitendo cha wapinzani hao kujiunga pamoja na kuanzisha kampeni za kuwahamasisha wananchi ili waukatae muswada hakisaidii lolote, kwa sababu sheria zote zinatungwa bungeni na siyo kwenye Viwanja vya Jangwani wala Ikulu.
Vyama vyampinga JK
Wakati Chikawe akisema hayo, viongozi wa Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi wameshikilia msimamo wao kwamba wataendelea kupinga muswada huo uliopitishwa na Bunge, Septemba 6, mwaka huu.
Wakizungumza Dar es Salaam jana walipokutana na Shura ya Maimamu ikiwa ni mwendelezo wao wa kukutana na asasi za kiraia, viongozi wakuu wa vyama hivyo, walisema kamwe kasi yao ya kutaka kutosainiwa kwa Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba haiwezi kupunguzwa kwa namna yoyote kwa kuwa wanatetea masilahi ya Watanzania na siyo mtu binafsi.
Kauli yao imekuja siku moja baada ya Rais Kikwete kusema kuwa baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakisema uongo kuhusu mchakato wa Katiba unavyokwenda.
Wanasiasa pia hao wamepinga matumizi ya kauli za kibabe kwenye mchakato huo na kuonya kuwa nguvu ya dola haiwezi kushindana na nguvu ya umma.
Mbali na hayo, wanasiasa hao walisisitiza kwamba hawatapiga magoti kuomba Katiba Mpya, kwani ni ya Watanzania wote na si mali ya wanasiasa, chama cha siasa wala wabunge.
CHNZO: MWANANCHI

0 comments:

Half of the pilots surveyed in the UK admitted to having fallen asleep while flying a passenger plane.

 Half of the pilotssurveyed in the UK admitted to havingfallen asleep whileflying a passenger plane.

0 comments:

URAFIKI WA WAPINZANI NA USHAURI WAO KWA RAIS KIKWETE


Vyama vya NCCR Mageuzi, Chadema na CUF vimetangaza kuanza rasmi mikutano nchi nzima kwa lengo la kuushawishi umma kupinga kile walichokiita hujuma dhidi ya upatikanaji wa Katiba Mpya.
Jumapili, Septemba 15, vyama vikuu vitatu vya upinzani viliandika historia nyingine mpya katika tasnia ya siasa za Tanzania baada ya kuamua kushikamana kupinga Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba wa mwaka 2013.
Kauli za kupinga muswada huo ulianzia bungeni mjini Dodoma, lakini sasa umehamia nje ya Bunge na vyama hivyo vimetangaza azma ya kuanza kampeni ya kuuhamasisha umma kudai maridhiano kabla ya kuendelea na mchakato wa Katiba Mpya.
Wenyeviti wa vyama hivyo; James Mbatia (NCCR-Mageuzi), Freeman Mbowe (Chadema) na Profesa Ibrahim Lipumba (CUF) wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kutousaini muswada huo kuwa sheria, hadi pale kutakapokuwa na maridhiano ya pande zote husika.
Wanasema mapendekezo mengi yaliyomo katika Rasimu ya Katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, yalipendekezwa na vyama hivyo,  hivyo havitakuwa tayari kuona maoni hayo pamoja na ya Watanzania wengi yakichakachuliwa.
Wanasema muungano wao ni mwanzo wa kuunganisha umma wa Watanzania kufanya uamuzi wa kunusuru utekaji madaraka na mamlaka ya nchi kutoka kwa wananchi.
Vyama hivyo, pia vilitangaza kuanza rasmi mikutano nchi nzima kwa lengo la kuushawishi umma kupinga kile walichokiita kuwa ni ‘hujuma dhidi ya upatikanaji wa Katiba Mpya’.
Mikutano hiyo itaanza Septemba 21 mwaka huu, kwenye Viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam na baadaye viongozi hao watakutana na makundi mbalimbali yakiwamo asasi za kiraia, taasisi za dini, vyama vingine vya siasa, wasomi na taasisi za elimu.
Makundi mengine ni pamoja na vyama vya wafanyakazi, jumuiya za wakulima, wafugaji, wavuvi, sekta binafsi, watu wenye ulemavu, jumuiya za wanawake, vijana na wastaafu.
Tamko na madai yao
Tamko hilo la pamoja lilisomwa na Profesa Lipumba ambapo anasema wanachopigania ni kuurejesha mchakato wa Katiba Mpya mikononi mwa umma, anaongeza kuwa suala hilo kwa sasa limehodhiwa na CCM.
“Tunamshauri Rais Kikwete asisaini muswada huu, aurejeshe bungeni ufanyiwe marekebisho yenye kujenga kuaminiana na mwafaka wa kitaifa kwenye mchakato wa mabadiliko ya Katiba. Hatutakwenda kumwona, ila aurejeshe bungeni,” anasema  Lipumba na kuongeza:

0 comments:

''VIJANA HACHENI KUKIMBILIA SAUZI SIO PEPONI'' BALOZI MSUYA


Kwa siku za karibuni limetokea wimbi kubwa la vijana  wa Kitanzania kukimbilia nchi mbalimbali duniani ikiwamo Afrika Kusini kwa madai ya kusaka maisha bora.
Baadhi ya vijana hao wamekuwa wakikamatwa na hata kurudishwa nchini baada ya kukosa uhalali kisheria wa kuendelea kuishi katika nchi hizo.
Wengine kati yao wamejikuta matatani kwa kuhusishwa na usafirishaji wa dawa za kulevya pamoja na maovu mengine baada ya  kuingia katika nchi hizo kwa njia halali na zisizo halali.
Kwa upande wa Afrika Kusini, baadhi ya vijana hao wemeamua kuhamishia shughuli zao za kibiashara nchini humo.
Balozi wa Tanzania nchini humo, Radhia Msuya  anasema vijana wengi wanadanganyika kwa kufikiri kuwa maisha katika nchi hiyo ni rahisi na kuwa baada ya kufika huko mambo yatakuwa rahisi na kinyume chake mambo huwawia magumu na baadhi yao kuhitaji msaada wa kurudishwa nyumbani.
Vijana 200 kwa mwezi
Balozi Msuya anasema kila mwezi wastani wa vijana  200 hurudishwa nyumbani Tanzania kutoka nchini humo kutokana na sababu mbalimbali wakiwamo wale walioingia katika nchi hiyo bila vibali.
 ‘’Huku siyo peponi, maisha bora yanafanyiwa kazi kama ilivyo huko nyumbani. Kila mwezi tunarudisha nyumbani vijana  200 wanaokamatwa mitaani hapa wakiuza  bidhaa ndogo ndogo huku wengi wao wakiwa hawana vibali,’’ anasema Balozi Msuya.
 Anasema shughuli ndogo ndogo za biashara wanazofanya vijana hao kutoka Tanzania haziwawezeshi kumudu gharama kubwa za maisha nchini humo na baadhi yao hudaiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo matumizi ya dawa za kulevya.
Aidha, balozi  huyo  anawataka vijana wasiamini kuwa majibu yote ya changamoto zote zinazowakabili yanapatikana serikalini.
Anasema  baadhi ya majibu ya changamoto hizo yako mikononi mwao na utatuzi wake siyo lazima kukimbilia nchini humo.
 Anasema ni kweli  Afrika Kusini imepiga hatua kubwa kimaendeleo katika sekta mbalimbali ikiwamo maendeleo  ya kiuchumi, ingawa  pia yapo matatizo mengi  ambayo vijana hukumbana nayo baada ya kufikiri kwamba kukimbilia nchini humo litakuwa ni suluhisho la matatizo yote waliyoacha nyumbani.

0 comments:

TANZANIA YAMKAMATA BALOZI WA UJERUMANI

 
Tanzania imemkataa Balozi mteule wa Ujerumani ambaye alitakiwa kuja kufanya kazi nchini.
Balozi huyo, Margit Hellwig-Boette alikuwa amemaliza muda wake nchini Kenya na alitakiwa kuja kuiwakilisha nchi yake Tanzania.
Balozi Hellwig-Boette alikaririwa na Gazeti la Standard la Kenya akieleza kuwa anajipanga kurudi kwao baada ya kukataliwa na Serikali ya Tanzania.
Alipoulizwa juu ya suala hilo, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alikataa kuzungumzia suala hilo akisema: “Watu wa Wizara ya Mambo ya Nje ndio wanaoshughulika na hayo mambo, waulizeni.”
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mkumbwa Ally alisema wizara yake haijapata taarifa za kukataliwa kwa balozi huyo.
“Suala hilo linahusu ofisi ya Rais, mambo ya uteuzi ni ya Rais. Wizara ya Mambo ya Nje haina hiyo taarifa na hata kama ingekuwapo hiyo taarifa siyo ya `public’.
“Siyo taarifa ya umma kwa maana kwamba, mchakato wake ni wa siri na hayo mambo hayana kuuliza kwa nini. Ukileta jina la mtu unayetaka aje kuwa balozi likikataliwa, hakuna kuuliza eti ni kwa nini.
“Unachofanya ni kuleta jina jingine, hata Rais hapa akipeleka jina la mtu kwenye nchi nyingine lisiporudi, hakuna kuuliza unachofanya ni kuteua tu jina jingine,” alisema Mkumbwa.
Alikariri Kifungu cha Nne cha Azimio la Vienna ambacho kinaruhusu nchi kukataa balozi wa nchi nyingine bila ya kutoa sababu.
“Nchi inayopeleka balozi katika nchi nyingine inatakiwa kutoa jina mapema kwa nchi nyingine. Hata hivyo, nchi hiyo ina uwezo wa kumkubali au kukataa uteuzi,” kinaelekeza kifungu hicho.

0 comments:

SERIKALI YAMLIMA BAROZI WA CHINA BARUA BAADA YA KUSHTAKIWA NA CHADEMA KWA KOSA LA KUKIUKA TARATBU


Serikali imesema mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini wanapaswa kutambua kuwa, wanawajibika kuheshimu Mkataba wa Kimataifa wa Vienna unaoainisha taratibu za diplomasia.
Pia, inasema inajiandaa kumwandikia barua Balozi wa China nchini, Lu Younqing kutokana na hatua yake ya kujihusisha na mambo ya siasa.
Wiki iliyopita, Balozi Lu alijitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika mkoani Shinyanga, huku akiwa amevalia moja ya sare za chama hicho, hatua ambayo imezusha mjadala miongoni mwa vyama vya siasa na wachunguzi wa mambo ya kidiplomasia.
Akizungumzia kitendo hicho jana, Naibu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mahadhi Juma Maalim, alisema Serikali inajiandaa kumwandikia barua ya kumkumbusha wajibu wake na kwamba itafanya hivyo baada ya kukusanya taarifa zake.
Hata hivyo, Mahadhi alisema Tanzania na China zitaendelea kuwa marafiki wanaoshirikiana kwenye nyanja mbalimbali kwa shabaha ya kuwaletea maendeleo wananchi wake.
“Hizi taarifa za balozi kuwa kwenye mkutano wa CCM nami zimezisikia na kuziona kwenye vyombo vya habari, tunachokifanya sasa wataalamu wetu wanaendelea kuzifanyia kazi, baadaye tutamwandikia barua kumkumbusha wajibu wake,” alisema.
Alisema siyo vyema kwa mabalozi kushiriki mambo ya kisiasa, kwani kufanya hivyo ni kwenda kinyume na Mkataba wa Vienna ambao ndiyo unaotoa mwongozo.
Pia, Mahadhi aliasa vyama vya siasa kutoachia majukwaa yao yakitumiwa na wanadiplomasia, akieleza kuwa navyo vinawajibika kuheshimu mkataba huo.
Alisema iwapo pande zote zitaheshimu mkataba huo, hakutakuwa na kurushiana lawama.

0 comments:

JK NA MPANGO WA KUONGEZA MDA WA UONGOZI WAKE 2015


Waziri wa Katiba na Sheria, Mathis Chikawe amesema Rais Jakaya Kikwete hana mpango wa kuongeza muda wa uongozi wake baada ya 2015 kama baadhi ya wanasiasa wanavyodai.
Kadhalika, waziri huyo amesema hakuna sheria inayomlazimisha Rais kusaini muswada wa sheria yoyote inayopitishwa na Bunge na wala inayoweka muda maalumu wa kutekeleza wajibu huo.
Akizungumza na gazeti hili jana, Chikawe alisema kwa vyovyote vile Rais Kikwete hawezi kuongeza muda wa kuwapo kwake madarakani kwa kuwa anaheshimu Katiba ya nchi iliyomuweka madarakani.
Waziri huyo alitoa kauli hiyo baada ya kutakiwa na gazeti hili kuzungumzia madai ambayo yamekuwa yakirudiwa mara kwa mara na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba kwamba amenasa taarifa za siri za kuwapo kwa mipango ya kuongeza muda wa Serikali ya sasa kukaa madarakani.
“Ngoja nikwambie ndugu yangu, watu wanaongea tu, kwanza Rais mwenyewe hana mpango huo, anasema kazi aliyonayo ni ngumu na haoni sababu ya kuongeza muda,”alisema Chikawe na kuongeza:
“Mara zote ukizungumza naye anasema tuharakishe mchakato wa Katiba na ikibidi tuingie katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kama Katiba yetu inavyosema kwa kuwa kazi aliyofanya inatosha kabisa.”
Mapema mwezi Mei mwaka huu, Profesa Lipumba alisema kutokana na wasiwasi kwamba mchakato wa Katiba Mpya hautakamilika 2014, hivyo Uchaguzi Mkuu hautaweza kufanyika.
Kuhusu hatima ya Uchaguzi Mkuu iwapo Katiba Mpya itaanzisha mfumo wa Serikali tatu, Chikawe alisema: “Wananchi wasiwe na wasiwasi ikifika wakati huo kila kitu tutajua, lazima tutakuwa na sheria ya mpito ambayo itaweka mambo sawa mpaka kutufikisha katika Uchaguzi Mkuu.”
Rais kusaini muswada
Chikawe pia alizungumzia hatima ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Mpya ambapo alisema hakuna sheria inayomlazimisha Rais kusaini miswada inayopitishwa na Bunge.
“Hakuna sheria inayomlazimisha Rais asaini wala kumpa muda wa kusaini, mwenyewe anatumia busara na hekima tu katika kusaini sheria,”alisisitiza Chikawe.
Kauli ya Chikawe imekuja siku chache baada ya wenyeviti wa vyama vya CUF, NCCR -Mageuzi na Chadema kutoa tamko la kumtaka Rais Kikwete asisaini muswada huo mpaka pale yatakapokuwapo maridhiano ya wadau muhimu kuhusu muswada huo. Alisema kwa kutokusaini muswada huo, kunaweza kukaleta tafsiri mbili; kwanza ni wale wanaoweza kutafsiri kuwa ni dharau kwa wabunge waliopitisha muswada huo, kwamba walichofanya si sahihi na hakina maana.

0 comments:

EU YAIAHIDI SOMALIA MAMILIONI YA DOLA

 
Muungano wa Ulaya umeahidi kuipa Somalia dola milioni 862 kama msaada. Ahadi hii imetolewa kwenye kongamano la kimataifa lililoandaliwa mjini Brussels Ubelgiji, kutathmini maendeleo yaliyofikiwa nchini Somalia, tangu vitra kupungua.
Pesa hizo zitatumika kufadhili miradi ya kuikarabati Somalia ambayo imekumbwa na vita kwa miongo miwili.
Mkutano huo unawaleta pamoja maafisa wa serikali , mashirika ya misaada na taasisi za kifedha.
Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud, aliambia BBC kuwa mkataba mpya unaopendekezwa na ambao unaipa nchi hiyo usemi mkubwa kuhusu mahitaji yake ya maendeleo, utaifaidi nchi ya Somalia pakubwa sana.
Duru zinasema kuwa matatizo chungu nzima yangali yanaikumba Somalia ikiwemo serikali kudhibiti sehemu ndogo tu ya nchi na ripoti za utumizi mbaya wa pesa.

0 comments:

POLISI WAUKOMBOA MJI ULIOTEKWA NA WAASI MISRI

Maafisa wa polisi wakishirikiana na wanajeshi wamevamia mji mmoja Kusini mwa Misri ambao ulikuwa ukidhibitiwa na wafuasi wa aliyekuwa Rais wa taifa hilo Mohammed Morsi kwa zaidi ya miezi miwili.
Afisa mmoja wa usalama amesema kuwa mamlaka ya taifa hilo imeuteka mji huo wa Dalga uliopo kilomita 300 kusini mwa mji mkuu.
Wakristo wa dhehebu la Coptic wamekuwa wakilalamika kwamba wanamgambo wamekuwa wakiwatoza pesa kwa nguvu ,wakisema kuwa hawangeweza kufanya maombi yao vyema kwa sababu ya usumbufu wa makundi ya walichokiita wahalifu
Maafisa wa Misri, wanawasaka wapiganaji wa kiisilamu kufuatia kuondolewa mamlakani kwa Morsi.
Mamia ya watu waliuawa wakati wanajeshi wa serikali walipotawanya waandamanaji waliokuwa wamepiga kambi katika mahema mjini Cairo wakimuunga mkono Morsi.
Mji wa Dalga ummekuwa ukishuhudia maandamano ya kumuunga mkono Morsi tangu kuondolewa mamlakani kwa Morsi, tangu wapiganaji wa kiisilamu kuuteka mji huo.

0 comments:

MAUAJI KATIKA KAMBI YA KIJESHI, MAREKANI

 
Polisi mjini Washington wamethibitisha kuuawa kwa 'watu kadhaa' katika shambulio la risasi katika makao makuu ya jeshi la wanamaji mjini humo.
Watu wengine 4 - akiwemo afisa wa polisi wamejruhiwa vibaya, maafisa wamesema.
Polisi waliingia jengo hilo wakimsaka mshambuliaji baada ya risasi kuripotiwa kusikika asubuhi. (13:20 GMT).
Kwa mujibu wa mkuu wa polisi mjini Washington, Cathy Lanier, Mshambuliaji mmoja aliuawa papo hapo na polisi bado wanawasaka wengine wawili wanaoaminika kuhusika.
Afisa mmoja wa idara ya Ulinzi ya wanamaji ya Marekani, mwenye umri wa miaka 50- ametambuliwa kama aliyeuawa kwa mujibu wa taarifa katika shirika la habari la ABC.
Polisi sasa wanasaka eneo linalozunguka makao hayo ya kijeshi.
Bi Cathy amesema, '' Wasiwasi wetu mkubwa kwa sasa ni kuwa tumebakia na washambuliaji wengine wawili na hatujui waliko.''
Alisema kuwa mmoja wao alikuwa amevalia shati lenye mikono mifupi, mshono wa kijeshi na kofia la kijeshi. Alionekana mara ya mwisho akiwa amebeba bunduki mkononi.
Mshukiwa mwingine ni mweusi mwenye umri wa miaka 50 , ambaye pia amebeba silaha mkononi.

Taarifa ya Ikulu

Rais Obama amehuzunishwa namauaji hayo
Rais Barack Obama amepewa ripoti kamili na maafisa wakuu na ameagiza vyombo vyote vya uchunguzi kushirikiana katika uchunguzi huo.
Akizungumza katika ikulu ya White house, bwana Obama amesema anahuzunishwa na tukio lingine la mauaji ya watu wengi katika ardhi ya Marekani. Ametoa rambi rambi zake kwa familia za waathiriwa.
"Hawa nai wake na waume walioamka kwenda kazini kama kawaida'' Alisema. '' Ndio wanafahamu kuwa wanakabiliwa na hatari wakiwa oparesheni kule nje. Lakini leo wamekumbwa na uhasama mbaya wasiotarajia wakiwa nyumbani.''
zaidi ya watu 3,000 wanafanya kazi katika jumba hilo ambalo ndilo makau makuu ya kutengeneza silaha, kununua silaha na pia kutoa huduma za kila siku kwa manuari za kivita za Marekani.

0 comments:

CHAMPIONI LEAGUE KUANZA RASMI LEO

Wachezaji Bayern Munich watakiwa kucheza kwa bidii zaidi,Dortmund yapata ushindi wa tano mfululizo katika ligi ya Ujerumani Bundesliga ,Ligi ya mabingwa, Champions League kuanza rasmi katika awamu ya makundi.
epa03817833 UEFA General Secretary Gianni Infantino shows a ticket with Kazakstan soccer club Shakhter Karagandy during the draw of the play-offs games of UEFA Champions League 2013/14 at the UEFA Headquarters in Nyon, Switzerland, Friday, August 9, 2013. EPA/LAURENT GILLIERON
UEFA Champions League Auslosung
Ulikuwa mchezo wa tano, na timu iliyopanda daraja msimu huu ya Braunschweig ilikuwa haijapata points hata moja hadi jana. Kocha Torsten Lieberknecht alikuwa hashikiki, kwani kwa muda wa dakika 70 jana Jumapili(15.09.2013) timu yake ilikuwa tena nyuma kwa bao 1-0 dhidi ya Nuremberg.
Kikosi chake lakini kilikuwa kinaonesha dalili ya kupata ushindi licha ya kuwa nyuma, wakati baadhi ya mashabiki wa timu hiyo wakijiuliza iwapo timu hiyo haitaweza kupata ushindi dhidi ya Nuremberg ambayo nayo haijapata ushindi licha ya kuwa na sare tatu katika michezo minne, Braunschweig itapata ushindi dhidi ya timu gani.
Fußball 2. Bundesliga, 12. Spieltag: Eintracht Braunschweig - SV Sandhausen am 02.11.2012 im Eintracht Stadion in Braunschweig. Braunschweigs Trainer Torsten Lieberknecht, aufgenommen vor dem Spiel. Foto: Jens Wolf/dpa (Achtung Hinweis zur Bildnutzung! Die DFL erlaubt die Weiterverwertung von maximal 15 Fotos (keine Sequenzbilder und keine videoähnlichen Fotostrecken) während des Spiels (einschließlich Halbzeit) aus dem Stadion und/oder vom Spiel im Internet und in Online-Medien. Uneingeschränkt gestattet ist die Weiterleitung digitalisierter Aufnahmen bereits während des Spiels ausschließlich zur internen redaktionellen Bearbeitung (z. B. via Bilddatenbanken) +++(c) dpa - Bildfunk+++
Torsten Lieberknecht kocha wa Braunschweig
Ndipo Omar Alabdellaoui alipopachika bao la kusawazisha kwa Braunschweig mbele ya mashabiki wa nyumbani katika dakika ya 70 ya mchezo huo na kuamsha shagwe kubwa. Braunschweig imepata pointi yake ya kwanza katika Bundesliga msimu huu ambayo wameipata kwa kufanya kazi ya ziada, kama anavyoeleza mchezaji wa kiungo wa Braunschweig Karim Bellarabi.
"Katika dakika zote 90 tulijitahidi kuwa makini. Leo tuliweza kutumia uwezo wetu wote. Tunafarijika na kazi tuliyofanya. Ni bahati mbaya , kwamba leo hatukuweza kushinda. Tulikuwa timu bora . Ndio sababu tungeweza kupata ushindi, kwa ajili ya mashabiki wetu na kwa ajili ya mji wetu".
Borussia bado kiboko
Borussia Dortmund bado inaongoza ligi hiyo ikiwa imepata ushindi katika michezo yake yote mitano, na iliirarua Hamburg SV siku ya Jumamosi kwa mabao 6-2. Mshambuliaji Marco Reus wa Borussia amesema kuwa ulikuwa mchezo ambao unaleta raha.
"Hii ni dhahiri kuwa kila mara inaleta furaha, iwapo magoli yanapatikana. Hilo ndio kila mara la muhimu zaidi. Haina maana iwapo unacheza kama tulivyocheza na kisha hakuna magoli na mwishoni mnashindwa".
Borussia Dortmund's Marco Reus celebrates scoring a goal against Bayern Munich during their SuperCup 2013 soccer match in Dortmund July 27, 2013. Wolfgang Rattay (GERMANY - Tags: SPORT SOCCER) DFL RULES TO LIMIT THE ONLINE USAGE DURING MATCH TIME TO 15 PICTURES PER GAME. IMAGE SEQUENCES TO SIMULATE VIDEO IS NOT ALLOWED AT ANY TIME. FOR FURTHER QUERIES PLEASE CONTACT DFL DIRECTLY AT + 49 69 650050 Marco Reus
Bayern Munich ilipata ushindi wa mabo 2-0 nyumbani dhidi ya Hannover 96 , lakini matokeo hayo hayakumfurahisha mkurugenzi wa spoti wa timu hiyo Matthias Sammer, ambaye amesema timu hiyo inapaswa kucheza kwa kujiamini zaidi pamoja na bidii katika mchezo wao.
Hata hivyo rais wa klabu hiyo Uli Honnes amejibu mapigo kwa kusema , timu hiyo hadi sasa haijapata kushindwa kwa hiyo hakuna sababu ya kulalamika. Amesema kocha Pep Guardiola ameingiza mambo mengi mapya katika kikosi hicho na anapaswa kupewa muda kuyaweka sawa.
Matthias SAMMER,Ex Fussballprofi,Einzelbild,angeschnittenes Einzelmotiv,Brustbild,Portraet. Fussball Champions League/ FC Bayern Muenchen-Villarreal CF. Vorrunde,Gruppe A, 5. Spieltag,am 22.11.2011. Matthias Sammer mkurugenzi wa spoti wa Bayern
Timu zote nne za Ujerumani ambazo zinashiriki katika kinyang'anyiro cha Champions League zimepata ushindi mwishoni mwa Juma. Bayer Leverkusen imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya VFL Wolfsburg, Schalke 04 ikaipiku Mainz 05 kwa bao 1-0.
Mchezaji ghali
Nchini Uhispania Gareth Bale ambaye amekuwa mchezaji ghali kabisa duniani kwa hivi sasa amepata bao lake la kwanza akivaa kwa mara ya kwanza jezi ya Real Madrid, katika mchezo ambao ulitoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya Villareal. Cristiano Ronaldo ameamua kujihusisha na klabu hiyo hadi mwaka 2018 akirefusha mkataba wake wa sasa na kuondoa uwezekano wa kuihama timu hiyo.
Nchini Uingereza mabingwa watetezi Manchester United ilifanyakazi ya ziada kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Crystal Palace , lakini Mesut Ozil aliwaonesha mashabiki wake kuwa anao uwezo wa kuibadilisha sura ya mchezo wa timu hiyo katika ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Sundeland.
BARCELONA, SPAIN - FEBRUARY 26: Cristiano Ronaldo of Real Madrid CF smiles during the Copa del Rey Semi Final second leg between FC Barcelona and Real Madrid at Camp Nou on February 26, 2013 in Barcelona, Spain. (Photo by David Ramos/Getty Images) Cristiano Ronaldo wa Real Madrid
Matokeo mabaya hata hivyo yaliwaangukia vigogo Chelsea pale walipopata kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Everton na Manchester City wakatoka sare ya bila kufungana na Stoke City.
Katika Champions League Bayern Munich inajaribu kwa mara ya kwanza kufanya kile kinachoonekana kuwa ni utetezi wa taji walilolipata msimu uliopita la Champions League na pia ni moja kati ya timu zilizopata makocha wapya msimu huu.
Guardiola yuko katika mbinyo
Pep Guardiola , ambaye aliiongoza Bacerlona kupata ushindi wa mataji mawili ya Champions League kati ya mwaka 2008 na 2012, amechukua mahali pa Jupp Heynckes ambaye amestaafu rasmi baada ya kuitawaza Bayern mabingwa wa mataji matatu katika msimu mmoja.
Real's Mesut Oezil controls the ball during the UEFA Champions League semi final second leg soccer match between Borussia Dortmund and Real Madrid at Santiago Bernabeu stadium, Spain, 30 April 2013. Photo: Bernd Thissen/dpa Mesut Özil
Guardiola anakabiliwa na kibarua kigumu cha kuifanya timu hiyo kuwa timu isiyoshindika katika bara la Ulaya , ambayo mbali ya kupata ubingwa mwaka huu wa 2013, pia ilifikia fainali mwaka 2010 na 2012.
Mwenyekiti wa Bayern Karl-Heinz Rummenigge amesema kuwa klabu hiyo inalazimika kufanyakazi kuweza kujenga utamaduni wa kushinda taji hilo la Champions League mara kwa mara.
Guardiola hivi sasa yuko katika hatua za kukinoa kikosi hicho kiwe na makali ya kudumu kuliko pale kilipoinyoa Barcelona bila maji kwa kuichapa mabao 7-0 katika michezo miwili ya nusu fainali msimu uliopita na hatimaye kuishinda Borussia Dormund kwa mabao 2-1 katika fainali ya kwanza ya timu zote za Ujerumani katika fainali ya Champions League.
Champions League
Ujerumani itakuwa na timu nne katika kinyang'anyiro cha Champions League katika awamu ya makundi inayoanza kesho Jumanne kwa mara ya kwanza , na jibu la kwanza litapatikana mwishoni mwa mwaka huu wakati Bayern Munich , Borussia Dortmund , Bayer Leverkusen na Schalke 04 ambazo zote zinakwaana na timu kutoka Premier League zitakapoonesha matokeo yake.
Mlinzi wa zamani wa Leverpool Sami Hyypia anaoiongoza Bayer Leverkusen kesho katika kundi A ambapo inapambana na Manchester United, ambapo kocha wa zamani wa Everton David Moyes anafuata nyazo za Sir Alex Ferguson , ambaye aliiongoza timu hiyo katika mafanikio ya taji la Champions League mwaka 1999 na 2008.
Bayerns Trainer Pep Guardiola sitzt am 11.07.2013 im italienischen Riva bei einer Pressekonferenz. Der Bundesligist bereitet sich vom 04.07.2013 bis 12.07.2013 in einem Trainingslager in Arco auf die Saison 2013-14 vor. Foto: Karl-Josef Hildenbrand/dpa +++(c) dpa - Bildfunk+++ Kocha wa FC Bayern Pep Guardiola
Hyypia anadai kuwa haendi Old Traford kupata saini ya kumbukumbu ya Wayne Rooney , lakini kupata points za mwanzo katika kundi hilo ambalo pia lina timu za Real Sociadad na Shakhtar Donetsk.
Bayern inafungua kampeni yake ya kutetea taji lake na CSKA Moscow katika kundi D wakati Manchester City ambayo sasa inaongozwa na Manuel Pellegrini itakuwa katika jamhuri ya Czech kupambana na Viktoria Plzen.
Makamu bingwa Borussia Dortmund kabla ya kuchomoa upanga wake kupambana na Arsenal London , inakibarua na Napoli siku ya Jumatano, timu ambayo pia ina kocha mpya ambaye aliwahi kuzifunza Liverpool na Chelsea , Rafael Benitez na pia mshambuliaji mpya kwa jina la Gonzalo Higuain.
Arsenal inafungua dimba kwa kupambana na Olympique Marseille.
Schalke 04 iko katika kundi E pamoja na Chelsea ya Jose Mourinho ambapo timu hiyo ya Ujerumani inafungua dimba na Steaua Bucharest, wakati Chelsea inamiadi na Basel ya Uswisi.
"La Decima"
Vigogo vya soka nchini Uhispania , Real Madrid na Barcelona sio tu kwamba wana makocha wapya , lakini pia wamesajili wachezaji ghali kabisa msimu huu Gareth Bale na Neymar.
Teamchef Sami Hyypiä trainiert am Dienstag (03.04.2012) mit der Mannschaft von Bayer 04 Leverkusen in Leverkusen. Hyypiä und Lewandowski haben am Dienstag erstmals das Training beim Fußball-Bundesligisten Bayer Leverkusen geleitet. Der ehemalige finnische Bayer-Profi Hyypiä und der bisherige U 19-Coach Lewandowski waren am Sonntag zu Nachfolgern des beurlaubten Trainers Dutt ernannt worden. Foto: Marius Becker dpa/lnw +++(c) dpa - Bildfunk+++ Kocha wa Bayer Leverkusen Sami Hyypiä
Ushirikiano kati ya Ronaldo na Bale na Messi na Neymar utakuwa wa kuvutia machoni, wakati Real wanataka kwa udi na uvumba kupata taji lao la kumi, "La Decima", lakini matumizi ya zaidi ya euro milioni 600 katika misimu miwili iliyopita kununua wachezaji katika kikosi hicho yatakuwa kipimo iwapo hilo linaweza kutimia.
Bale amesema wakati akitambulishwa kwa klabu hiyo kuwa "Ninataka kuisaidia timu hii kupata "La Decima" , akimaanisha taji la kumi la Champions League kwa Real Madrid.
Real Madrid ina miadi na Galatasaray ya Uturuki kesho Jumanne katika kundi B ambalo pia lina timu za Juventus na Copenhagen. Barca ambayo inakumbana na AC Milan kwa mwaka wa tatu mfululizo iko katika kundi C, na ainaanza na Ajax Amsterdam.
Paris St Germain ambayo itacheza kesho Jumanne katika kundi C inapambana na Olympiacos.
LONDON, ENGLAND - MAY 19: Gareth Bale of Tottenham Hotspur during the Barclays Premier League match between Tottenham Hotspur and Sunderland at White Hart Lane on May 19, 2013 in London, England. (Photo by Ian Walton/Getty Images) Gareth Bale
Kombe la dunia
Na katika bara la Afrika michezo ya kuwania nafasi tano kwa timu za Afrika katika fainali za kombe la dunia mwakani itaanza rasmi mwezi Oktoba na timu kumi zilizofanikiwa kufikia katika awamu hiyo zimekwisha pangwa. Cote D'Ivoire inapambana na Senegal , wakati Cameroon imepangwa kuoneshana kazi na Tunisia. Ethiopia itacheza na Nigeria, wakati Ghana ina miadi na Misri. Burkina Faso ina kibarua dhidi ya Algeria.
epa03092182 Didier Drogba of Ivory Coast reacts after scoring the first goal of the match during the Africa Cup of Nations Quarterfinal match between Ivory Coast and Equatorial Guinea in Malabo, Equatorial Guinea, 04 February 2012. EPA/STR EDITORIAL USE ONLY +++(c) dpa - Bildfunk+++ Didier Drogba
Mchezo kati ya Cote D'Ivoire dhidi ya Senegal ndio unaoleta hamasa zaidi kutokana na matukio ya hapo nyuma, baada ya Simba hao wa Teranga kupigwa marufuku kutumia uwanja wao mjini Dakar tangu pale yalipotokea machafuko na ghasia zilizosababisha mchezo huo kuvunjika wakati wa kufuzu kucheza katika fainali za kombe la mataifa ya Afrika.
Mchezo huo ulivunjika dakika 14 kabla ya kumalizika baada ya mashabiki kufanya fujo ambapo Cote D'Ivoire ikiwa mbele kwa bao 1-0 kutokana na mkwaju wa penalti wa Didier Drogba na kuiweka Cote D'Ivoire katika udhibiti wa michezo yao hiyo miwili.
Wakati huo huo watu watatu wamejeruhiwa kwa risasi jana Jumapili mjini Nairobi wakati wa pambano la ligi kati ya Gor Mahia na Tusker, ambapo Tusker ilishinda kwa bao 1-0.
IOC
Rais mpya wa kamati ya kimataifa ya Olimpiki IOC, Thomas Bach ataingia katika ofisi yake mpya rasmi kesho Jumanne mjini Lausanne, nchini Uswisi , bila ya sherehe kubwa lakini akikabiliwa na mengi ya kufanya.
FRANKFURT AM MAIN, GERMANY - MAY 09: Thomas Bach, International Olympic Committee (IOC) Vice President and head of the German NOC, announces his plan to run for IOC president during a press conference at the DOSB headquarters 'Haus des Sports' on May 9, 2013 in Frankfurt am Main, Germany. (Photo by Alex Grimm/Bongarts/Getty Images) Rais wa IOC Thomas Bach
Mjerumani huyo mwenye umri wa miaka 59, ambaye alichaguliwa Jumanne iliyopita mjini Buenos Aires , amemaliza sherehe za ushindi na sasa ni kazi.
Wakati changamoto kubwa ya Bach ni kuhakikisha michezo yenye mafanikio ya majira ya baridi mjini Sochi mwakani 2014 nchini Urusi ziara yake ya kwanza rasmi itakuwa mjini Olimpia nchini Ugiriki kuhudhuria uwashaji wa mwenge wa olimpiki. Amekwisha weka wazi malengo yake ya muda mrefu ya kipindi chake cha kwanza cha miaka minane katika hotuba yake ya ufunguzi.
Na kwa taarifa hiyo ndio sina budi kusema tumefikia mwisho wa kuwaletea habari hizi za michezo kwa leo, jina langu ni Sekione Kitojo hadi mara nyingine kwaherini.
Mwandishi : Sekione Kitojo / dpae / rtre / ape / afpe

0 comments:

THELUTHI YA CHAKULA DUNIANI CHATUPWA KILA MWAKA

Theluthi moja ya chakula kinachozalishwa duniani kila mwaka hutupwa, na kuugharimu uchumi wa dunia karibu euro bilioni 570 kila mwaka, limesema shirika la chakula la Umoja wa Mataifa FAO.
FAO imesema tani bilioni 1.3 za chakula hupotea au kutupwa kila mwaka, huku watu milioni 870 wakishinda na njaa duniani. FAO imesema tani bilioni 1.3 za chakula hupotea au kutupwa kila mwaka, huku watu milioni 870 wakishinda na njaa duniani.
Katika ripoti yake iliyotolewa mjini Rome nchini Italia siku ya Jumatano, FAO imesema uharibifu huu mkubwa wa chakula hauathiri tu uchumi wa dunia, bali mazingira pia.
Wakati wakifanya manunuzi yao ya kila siku, walaji wengi hawajui ni kiasi gani cha chakula hutupwa. Lakini mamilioni ya tani za mchele, matunda na mbogamboga huishia katika mapipa ya taka kila mwaka, limesema shirika la FAO lenye makao yake mjini Rome Italia. Kwa ujumla, FAO inasema karibu tani bilioni 1.3 za chakula zinaharibiwa ambako bara la Asia ndiyo linaongoza katika uharibifu huu.
Mkurugenzi Mkuu wa FAO, José Graziano da Silva. Mkurugenzi Mkuu wa FAO, José Graziano da Silva.
'Ni tukio la kushtusha'
Mkurugenzi Mkuu wa FAO, Jose Granziano da Silva, aliwaambia waandishi wa habari mjini Rome, kuwa thamani ya chakula kinachoharibiwa ni sawa na pato la ndani la jumla la Usiwisi, na kuongeza kuwa wakati kiasi hicho cha chakula hupotea kutokana na matendo yasiyofaa, watu milioni 870 wanashinda na njaa kila siku. Achim Steiner, mkuu wa Programu ya Mazingira ya Umoja wa Mataifa, UNEP, aliuelezea muelekeo huu kama tukio la kustusha.
Katika mataifa yanayoendelea, ripoti hiyo imebainisha kuwa chakula kinapotea kutokana na mavuno yasiyo na ufanisi au mazingira duni ya uhifadhi, wakati katika mataifa tajiri matunda na mbogamboga hutupwa kutokana na sababu za muonekano ambao hauwapendezi wanunuzi, au rangi, au chakula kinatupwa kutokana na ununuzi wa kupita kiasi.
FAO ilisema kila mwaka, chakula kinachozalishwa na kutoliwa kinanyonya kiwango cha maji sawa na kinachotiririka katika mto Volga nchini Urusi, na chakula hicho kinahusika na tani bilioni 3.3 za gesi chafu inayoingia katika anga ya sayari. Mkuu wa UNEP, Achim Steiner, alisema kuondoa uharibu wa chakula kuna uwezekano mkubwa wa kupunguza baa la njaa, na kutoa wito kwa kila mtu kuchukua hatua kukabiliana na tatizo hili.
Bara la Asia laongoza kwa kuharibu chakula
Ripoti hiyo ililinyooshea kidole hasa bara la Asia, ikisema kuwa wastani wa kilo 100 za matunda kwa kila mtu zinatupwa kila mwaka, katika mataifa yalioendelea kiviwanda barani humo, yakiwemo China, Japan na Korea Kusini. Ripoti hiyo ilikadiria kuwa kanda hiyo inaharibu kilo 80 za nafaka - hasa mchele kwa kila mtu, na kuonya kuwa kilimo cha mchele kinatoa kiwango kikubwa cha gesi ya kaboni, na kimekuwa mmoja ya vyanzo vikubwa vya uchafuzi wa mazingira.
Kilimo cha mchele kinaelezwa kuwa chanzo kikuu cha uharibifu wa mazingira. Kilimo cha mchele kinaelezwa kuwa chanzo kikuu cha uharibifu wa mazingira.
Maeneo mengine yaliyobainishwa katika ripoti hiyo yanayochangia uharibifu na kuathiri mazingira, ni sekta za nyama Amerika kaskazini na Kusini, na pia uharibifu wa matunda barani Asia, Ulaya na Amerika Kusini. Chakula kinachozalishwa lakini hakiliwi kinatumia asilimia 30 ya ardhi ya kilimo duniani, imesema ripoti hiyo.
Nini kifanyike?
Ushauri juu ya kupunguza uharibifu wa chakula unahusisha kupanga mapema safari za manunuzi, na kutonunua zaidi ya kile kinachohitajika, na pia kutoa chakula cha ziada kulisha wanajamii walio katika hatari zaidi, na pia kutumia chakula ambacho hakifai tena kuliwa na watu kulisha mifugo. FAO pia ilisisitiza umuhimu wa urejelezaji wa chakula kisichotumiwa, ikisema kuwa chakula kisicholiwa na kuoza kinazalisha gesi kubwa ya methane, ambayo ni hatari sana.
Mwandishi: Iddi Ismail Ssessanga/afpe,dpa,kna, afpd

0 comments:

CHAMA CHA CSU CHASHINDA UCHAGUZI BAVARIA

Licha ya chama cha CSU kushinda kwa kishindo katika uchaguzi wa bunge katika jimbo la Bavaria, uchambuzi unaonesha kwamba ushindi huo unaweza kukiletea mashaka chama cha CDU.
Bavarian State Premier and leader of the Christian Social Union (CSU) Horst Seehofer gestures as he addresses his party members in Munich, September 15, 2013. Angela Merkel's allies swept to victory in a state poll in Bavaria on Sunday, winning enough support to regain the absolute majority they had lost in 2008 and boosting the chancellor and her conservatives a week before a German federal election. The Christian Social Union (CSU), sister party of Merkel's Christian Democrats (CDU), won 49 percent according to a TV exit poll. Their coalition partner, the Free Democrats (FDP), polled just 3 percent, crashing out of the state assembly. REUTERS/Michael Dalder (GERMANY - Tags: POLITICS ELECTIONS)
Mwenyekiti wa chama cha siasa cha Ujerumani CSU Horst Seehofer akionesha ishara ya ushindi
Chama cha CDU ndicho kinachoiongoza serikali ya mseto ya Ujerumani. Hapakutokea kadhia yoyote ya kushangaza katika uchaguzi wa jimbo la Bavaria-jimbo kubwa kabisa la kusini mwa Ujerumani. Matokeo ya uchaguzi yalikuwa kama jinsi yalivyotabiria katika kura za maoni.
CSU yasahihisha makosa yake
Chama cha CSU safari hii kimeweza kuyasahihisha makosa yaliyofanywa mnamo mwaka wa 2008.Katika uchaguzi wa mwaka huo chama cha CSU kiliteleza kwa kiwango kilichozingatiwa kuwa cha kihistoria kiasi cha kulazimika kuyasikia maoni ya wananchi yaliyotolewaa kwa njia ya kupiga kura.Chama cha CSU kiliuhitaji msaada wa chama ndugu cha Waliberali,FDP ili kuweza kupata wingi wa uhakika bungeni.
An unidentified woman casts her vote for the Bavarian state elections in Munich September 15, 2013. REUTERS/Michaela Rehle (GERMANY - Tags: POLITICS ELECTIONS) Wapiga kura katika jimbo la Bavaria
Lakini katika uchaguzi wa safari hii chama cha CSU kilipata asilimia 49 ya kura. Mwenyekiti wa chama hicho Horst Seehofer ambaye pia ni Waziri mkuu wa jimbo la Bavaria amesema yafuatayo juu ya ushindi wa chama chake katika uchaguzi. "Huo ni ushindi mzuri sana. Chama cha CSU ni cha umma na kimefungamana na wananchi wa Bavaria katika mizizi. Nusu ya wananchi wa jimbo hilo walitupigia kura."
Hata hivyo ushindi huo unaweza kuwa wa mashaka kwa Kansela Angela Merkel.Chama cha Waliberali, FDP hakikuweza kufikia asilimia tano ya kura, na hivyo kimeshindwa kuingia bungeni.
Chama hicho kiliambulia asilimia tatu tu za kura. Ni maoni ya wachambuzi kwamba katika uchaguzi mkuu wiki ijayo wapiga kura wafuasi wa chama cha bibi Merkel cha CDU huenda wakakipa chama hicho kura za huruma. Hatua hiyo itapunguza hesabu ya kura za chama cha Kansela Merkel,CDU
Chama cha FDP tegemeo la CDU
Chama cha Bibi Merkel cha CDU kinakihitaji chama cha FDP ili kiweze kuendelea kuwamo katika uongozi wa serikali. Lakini chama ndugu cha FDP kitapaswa kupata zaidi ya asilimia tano ya kura katika uchaguzi mkuu wa tarehe 22 Kwa mujibu wa kura za maoni
Kansela Merkel yaupo mbele ya mshindani wake mkuu Peer Steinbrück anaegombea ukansela kwa tiketi ya chama kikuu cha upinzani cha Social Demokratik.
Lakini siku za hivi karibuni zimeonyesha kwamba Steinbrück ameweza kulipunguza pengo kidogo. Katika uchaguzi wa jimbo la Bavaria chama cha bwana Steinbrück kilipata asilimia zaidi ya asilimia 20. Hayo siyo matokeo ya kusisimua kwa chama cha SPD lakini kwa, kuzingatia kwamba jimbo la Bavaria ni ngome madhubuti ya chama cha CSU, matokeo hayo ni ushindi kwa chama cha SPD.
Mwandishi: Wagener Volker

0 comments:

JITIHADA ZA MATAIFA KUISAIDIA SOMALIA

Somalia inajiandaa kuadhimisha mafanikio ya kisiasa baada ya miongo miwili ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, ambapo mataifa marafiki na taifa hilo yakitarajiwa kuainisha "Mpango Mpya" mjini Brussels
European Union foreign policy chief Catherine Ashton (L) and Somali's President Hassan Sheikh Mohamud (R) arrive at a conference called New Deal in Somalia in Brussels September 16, 2013. Somalia's government and international donors will sign up to a three-year plan on Monday to rebuild the violence-torn country, backed by pledges of new funding that EU officials hope could reach more than one billion euros. REUTERS/Yves Herman (BELGIUM - Tags: POLITICS BUSINESS) Mkuu wa sera za nje wa Umoja wa Ulaya Catherine Ashton na Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mahmud
Kwa mujibu wa mkuu wa masuala ya kidiplomasia wa Umoja wa Ulaya kwa upande wa Afrika, Nicholas Westcott anasema mazungumzo hayo yanayotarajiwa kuhudhuriwa na rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud yatakuwa na mwanzo mwingine wa ujenzi wa siasa za Somalia na kujihakikishia uungwaji mkono wa jumuiya ya kimataifa.
Maeneo matano muhumu ya "Mpango Mpya"
Mpaka sasa hakuna mchango wowote uliyotangazwa na mataifa hayo ya kimataifa kabla ya mkutano huo. Mpango huo mpya utajumuisha katika kusimamia maendeleo maeneo matano muhimu katika maendeleo ya taifa hilo yakiwemo kuimarisha serikali, utawala wa sheria, usalama wa raia, kupanua wigo wa ajira na kuendeleza huduma za msingi kwa kuzingatia mapato yatakayopatikana.
A Somali soldier walks past destroyed vehicles at the scene of a suicide car bombing near a restaurant in Hamaerweyne district in Mogadishu September 7, 2013. A car bomb and suspected suicide bomber struck the restaurant in the Somali capital Mogadishu on Saturday, killing at least 15 people, police said. REUTERS/Feisal Omar (SOMALIA - Tags: CIVIL UNREST MILITARY CRIME LAW) Bomu lililoripuka katika mgahawa mjini Mogadishu
Afisa huyo wa ngazi za juuu kabisa wa Umoja wa Ulaya Westcott alisema taifa la Somalia limevurugwa kabisa vita vilivyodumu kwa takribani miaka 20 kwa hivyo, wanadhamiria kujenga msingi wa taifa hilo kuanzia chini kabisa.
Al Shabab yakosoa umuhimu wa mkutano
Hata hivyo mkutano upande wa uasi umekosoa vikali mkutano huo kwa kusema "ni sawa na kupoteza muda tu" Katika taarifa yake iliyosambazwa na mtandao wa al-Shabab limesema fedha nyingi ziliwahi kutolewa kwa ajili ya Somalia hazikuzaa matunda yeyote kutokana na kunufaisha watu wachache kutokana na vitendo vya rushwa.
Kiasi ya wajumbe 50 kutoka Afrika, Ulaya, mataifa ya ghuba ya Uarabuni na kwengineko wanamatarajio makubwa na mkutano huo wa mpango mpya wa kuisaidia Somalia ambao pamoja na rais wa taifa hilo unawakutanisha, viongozi wengine wa Somalia, mashirika ya kimatiafa ya kutoa misaada na taasisi za kifedha za kimataifa.
Lakini al Shabab ambao wanapigana kuindoa madarakani serikali inayoungwa mkono na mataifa ya magharibi, wanasema mikutano kama hiyo kamwe haijawahi kuleta tija katika kuleta maendeleo katika ardhi ya Somalia na huo wa sasa utakuwa hivyo hivyo.
Somalia inapaswa kusaidiwa
Alexander Rondos Mjumbe wa Maalum wa Umoja wa Ulaya katika Pembe ya Afrika amesema kwa kipindi cha mwaka mmoja uliyopita raia wa Somalia wameendelea kushuhudia mafanikio ya utendaji wa kazi wa rais, serikali na bunge, wakati mtando wa al Shabab ukiendelea kuangamizwa.
Rondos, aliendelea kusema hatua hiyo si ya kuachiwa njiani, inapaswa kuendelezwa na hasa katika kustawisha siasa za taifa hilo pamoja na usalama kwa jumla, ambazo kwa kiasi kikubwa zipo mbali na hatua ambayo inaweza kuelezwa kuwa madhubuti.
Uharamia bado umeendelea kuwa changamoto, sambamba na kundi la al Shabab ingawa kwa hivi sasa linatajwa kuwa kuwa maeneo ya kati na kusini mwa Somalia ,mbali na mji mkuu Mogadishu.
Mwandishi: Sudi Mnette DPA

0 comments:

KUTOKA SHAMBANI HADI MJUMBE TUME YA KATBA MPYA

 
Ukipita katika mitaa mbalimbali ya Mji wa Unguja, Kibibi Mihogo ni miongoni mwa majina maarufu.
Umaarufu wa jina hilo umetokana na mchango wake katika kufanikisha mambo mbalimbali kwenye jamii hasa kwa wanawake wa Zanzibar, akielemea zaidi katika masuala ya kilimo, utafiti na harakati za kupunguza umaskini.
Kibibi Mihogo ambaye jina lake halisi ni Kibibi Mwinyi Hassan ni mzaliwa wa Wilaya ya Kusini, Mkoa wa Kusini, Unguja katika Visiwa vya Zanzibar.
Ni mtoto wa kwanza kati ya wanne kwa baba mmoja na mama mmoja, akiwa na ndugu wengine wa baba mmoja mzee Mwinyi Hassan.
Mwanamke huyu ambaye pia ana watoto wanne akiwa pia ni mjane baada ya mumewe kufariki dunia, Juni mwaka jana, alianza safari yake ya elimu katika shule ya msingi iliyopo kati ya Kijiji cha Bwejuu na Paje.
Baadaye alijiunga na Sekondari ya Machipi iliyopo Ifakara, wilayani Kilombero, Morogoro, ambapo alisoma mchepuo wa kilimo na kuhitimu mwaka 1979.
Katika mahojiano na mwandishi wa makala haya, wilayani Kilindi mkoani Tanga, alipokuwa kikazi na Tume ya Mabadiliko ya Katiba anayoifanyia kazi sasa, Kibibi aliye na Shahada ya Uzamili ya Rasilimali Watu, anaeleza kuwa baada ya kumaliza kidato cha nne alijiunga na Chuo cha Kilimo Ilonga, wilayani Kilosa, pia mkoani Morogoro kabla ya kuajiriwa na Wizara ya Kilimo Zanzibar katika Idara ya Elimu kwa Wakulima.
“Kati ya mwaka 1982 hadi 1985 nilifanya kazi ya vipindi vya kilimo katika Televisheni ya Zanzibar (TVZ) na vipindi vya redio, Sauti ya Tanzania Zanzibar. Pia nilikuwa nikitoa ushauri kwa wakulima. Mwaka 1986 nikaenda kusomea Diploma ya Kilimo na Uzalishaji Mazao, nikahitimu mwaka 1988,” anaeleza Kibibi.
Anasema kuwa baada ya hapo alipangiwa kazi katika Kituo cha Utafitijeni wa Mazao ya Mizizi maarufu Kizimbani mjini Zanzibar na kuwa Ofisa Utafiti wa zao la muhogo na nazi.
“Utafiti ulinifundisha mengi, nilisafiri nchi nyingi, ulinifanya nijulikane Unguja yote. Nilikutana na wakulima, pia kuwafundsha uandaaji na uzalishaji mazao bora ya mizizi hasa mihogo, niliojifunza Nigeria. Niliweza kutambua aina ya mihogo na magonjwa ya mimea kwa kutazama majani yake tu na hapo ndipo nikapewa jina la Kibibi Mihogo. Najivunia utaalamu na kujulikana ,” anasimulia.
Kibibi anamtaja Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk Salmin Amour Juma kuwa alimwezesha kupata shahada baada ya kuwatangazia Wazanzibari nafasi za udhamini wa masomo nchini Mauritius mwaka 1998, ambapo miaka mitatu baadaye alihitimu na aliporejea Zanzibar alikuwa mkuu wa Maabara ya Kuzalisha Mbegu katika Kituo cha Utafiti Kizimbani.
Hata hivyo anasema: “Moyo wangu ulichoka, nilipenda mazao ya mizizi, nilipenda kukutana na wakulima, sikupenda kazi ya maabara; …sikufanikiwa. Nilitaka kwenda katika siasa, nikaacha baada ya kuona aina ya ubaguzi hasa kwa watu wapya kwenye siasa, nikakata tamaa.”

0 comments:

CATHETERIZATION LAB: MKOMBOZI ALIYETUA MUHIMBILI KUOKOA WAGONJWA WA MOYO

 
Ndoto ya Watanzania hasa wale wasio na uwezo, wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo kutibiwa haraka na kwa gharama nafuu inaelekea kuwa ya kweli.
Ni baada ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)  kusema kuwa sasa itaweza kupunguza wagonjwa wenye matatizo ya moyo wanaokwenda kutibiwa nje ya nchi kwa asilimia 60.
Matarajio hayo ya MNH kwa wagonjwa hao yanatokana na kupata mtambo maalumu wa kisasa utakaosaidia kufanya upasuaji  wa moyo.
Mkurugenzi  Mtendaji wa MNH,Dk Marina Njelekela anasema kutokana na kupatikana kwa mtambo huo wa kisasa hospitalini hapo, wanaiomba serikali iwape fedha hasa zile ambazo imekuwa ikitumia kuwasafirisha, kuwatibu wagonjwa wa moyo hasa nchini India na kwingineko.
Badala yake, MNH inaomba fedha hizo ziwasilishwe hospitalini hapo ili wagonjwa wengi zaidi waweze kutibiwa nchini. Anasema mtambo huo unaojulikana kwa jina la Catherization Laboratory, ndiyo mtambo ambao wagonjwa wengi nchini walikuwa wakisafirishwa nje kwenda nchini India kwa ajili ya matibabu.
Anasema mtambo huo ulioigharimu serikali Sh3.6 bilioni  utasaidia katika kumchunguza mgonjwa mishipa na shinikizo ndani ya moyo na maradhi makubwa ya kazaliwa nayo kwa lengo la kujiridhisha kama anapaswa kufanyiwa upasuaji au kuwekewa kifaa saidizi katika moyo wake.
Anaongeza kuwa MNH imepata uwezo wa kupatiwa mtambo huo  baada ya baadhi ya madaktari wake kupatiwa mafunzo nchini India na Israel tangu mwaka 2008 ambapo wagonjwa 453 wenye maradhi ya moyo wamefanyiwa upasuaji.
“Kwa sasa upasuaji wa moyo unaofanyika katika hospitali  yetu (Muhimbili0  ni sawa na ule unaofanyika katika vituo vikubwa vya upasuaji moyo duniani kote,”anasema Dk Njelekela
Mkurugenzi huyo wa MNH anasema  kuwa kupatikana kwa mtambo huo kutasaidia serikali kuondokana na mzigo wa asilimia 70 ya wagonjwa wa moyo wanaopata rufaa ya kwenda kutibiwa nje.
“Sambamba na asilimia 70,  pia serikali itapunguza  gharama ya dola za Marekani 10,000 kwa kulipia matibabu ya mgonjwa mmoja anaetibiwa nje ya nchi ukilinganisha na Dola 6,000 kwa matibabu ya hapa nchini.
“Kupitia uwepo wa kituo hicho  hapa Muhimbili,  uongozi wa hospitali upo katika mazungumzo na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ili kulipia kiasi cha dola za Marekani 6,000 badala ya dola 10,000  kwa gharama ya mgonjwa mmoja anaepatiwa rufaa ya kupeleka nje ya nchi,” anasema  Dk Njelekela .

0 comments:

HATUA YA MAKUNDI MTIFUANO LIGI YA MABINWA ULAYA

 
Hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya 2013/14 itaanza kesho na keshokutwa, ambapo jumla ya timu 16 zitaingia uwanjani kesho na timu nyingine 16 zitaingia uwanjani keshokutwa.
Timu hizo, pia zinatarajiwa kurudiana baada ya wiki mbili, ambapo zitaingia uwanjani Oktoba 1 na 2.
Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya ni Bayern Munich ambao walitwaa kombe hilo baada ya kuichapa Borussia Dortmund mabao 2-1 katika mechi ya fainali.
Kundi A; katika kundi hili zipo M
anchester United FC, Bayer 04 Leverkusen, Real Sociedad na FC Shakhtar Donetsk.
Hii ni mara ya 18 kwa Manchester United kushiriki hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, lakini kwa kocha wao David Moyes ni mara ya kwanza, pia hii ni mara ya kwanza kwa kocha wa Leverkusen, Sami Hyypia ambaye alitwaa taji hilo mwaka 2005 akiwa mchezaji wa Liverpool. Hii ni mara ya pili kwa Real Sociedad kushiriki hatua ya makundi wakati ni mara ya tisa kwa FC Shakhtar Donetsk kushiriki hatua hii.
Kundi B; katika kundi hili zipo Galatasaray, Real Madrid CF, FC København na Juventus.
Kocha wa Galatasaray hivi sasa, Fatih Terim aliwahi kuinoa AC Milan , ambapo alipoiacha AC Milan 2001/02 nafasi yake ilichukuliwa na kocha wa sasa wa Real Madrid, Carlo Ancelotti. Kocha msaidizi wa Galatasaray hivi sasa, Umit Davala alicheza katika mechi saba akiwa chini ya Ancelotti katika klabu ya AC Milan.
Msimu uliopita Juventus walipangiwa kucheza Denmark, ambapo msimu huu pia wamepangiwa kuanza na klabu ya FC København ya Denmark.
Kundi C; katika kundi hili zipo SL Benfica, RSC Anderlecht, Olympiacos FC na Paris Saint-Germain.
Mwaka 1983 katika mechi ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya timu ya Anderlecht iliichapa Benfica 1-0 huko Lisbon na kutwaa kombe. Kocha msaidizi wa Benfica hivi sasa, Minervino Pietra na mkurugenzi wa ufundi wa klabu hiyo, Sheu Han wote walicheza mechi hiyo ya fainali.

0 comments:

ETHIOPIA YAPEWA NIGERIA KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2014 BRAZIL

  Egypt's Ibrahim Salah (left) fights for the ball against Ghana's Derek Boateng TIMU ya taifa ya Ghana itamenyana na Misri katika mechi ya kuwania kucheza Fainali za Kombe la mwakani nchini Braziil.
Misri ni timu pekee barani yenye rekodi ya ushindi wa asilia 100 katika mechi za kuwania tiketi ya Kombe la Dunia mwakani.
Mabingwa wa Afrika, Nigeria watamenyana na timu dhaifu kutoka Afrika Mashariki, Ethiopia, wakati timu bora Afrika kwa sasa, Ivory Coast watamenyana na Senegal.
Tunisia, iliyofuzu baada ya Cape Verde kupokonywa pointi, itamenyana na Cameroon.

RATIBA KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2014 BRAZIL

  • Ivory Coast v Senegal
  • Ethiopia v Nigeria
  • Tunisia v Cameroon
  • Ghana v Misri
  • Burkina Faso v Algeria
Na Burkina Faso,washindi wa pili wa Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2013, watamenyana na Algeria.
Mechi za kwanza zitachezwa kati ya Oktoba 11 na 15 na za marudiano zitapigwa kati ya Novemba 15 na 19.
Timu tano zitakazoshinda baada ya matokeo ya jumla, maana yake zitakuwa zimejikatia tiketi ya kwenda Brazil mwakani.

0 comments:

MSHAHARA MPYA WA RONALDO NA HISTORIA YA MISHAHARA MIKUBWA YA WACHEZAJI DUNIANI...PIA WAJUE WANANE WANAOLIPWA ZAIDI KWA SASA

MSHAHARA mpya wa Cristiano Ronaldo wa Pauni 288,000 kwa wiki baada ya makato ya kodi ni rekodi. Kutoka Sportsmail BIN ZUBEIRY inakuletea historia ya mishahara mikubwa ya wachezaji ambavyo imekuwa ikipanda miaka na miaka.
We're scratching our heads too, Cristiano: Ronaldo now takes home an eye-watering £288,000-per-week
Tunaumiza vichwa vyetu pia Cristiano: Ronaldo sasa anaondoka na kitita cha Pauni 288,000 kwa wiki

Wakati Johnny Haynes anakuwa mchezaji wa kwanza kulipwa Pauni 100 kwa wiki mwaka 1961 watu walichanganyikiwa na kiwango hicho cha mshahara.
pata picha watauchukuliaje mshahara mpya wa Cristiano Ronaldo wa Pauni 288,000 baada ya kodi.
Wakati huo wachezaji ghali zaidi alikuwa analipwa Pauni 20 kwa wiki England hadi Januari 18, mwaka 1961.
Jimmy Hill, Fulham, 1953: Pauni 20 kwa wiki 
Jimmy Hill, Fulham
Johnny Haynes, Fulham, 1961: Pauni 100 kwa wiki
Johnny Haynes (left)
George Best, Man United, 1968: Pauni 1,000 kwa wiki 
George Best
Falcao, Roma, 1980: Pauni 10,000 kwa wiki 
Falcao
Roberto Baggio, Juventus, 1990: Pauni 50,000 kwa wiki
Roberto Baggio
Sol Campbell, Arsenal, 2001: Pauni 100,000 kwa wiki
You could pay someone to do that for you: Sol Campbell
Carlos Tevez, Man City, 2009: Pauni 200,000 kwa wikiThat should fund a few days out at the golf: Carlos Tevez
Wayne Rooney, Man Utd, 2010: Pauni 250,000 kwa wiki
Thanks for the money: Wayne Rooney
Cristiano Ronaldo, Real Madrid, 2013: Pauni 
288,000 kwa wiki (baada ya makato ya kodi)
Rich Ronaldo

NYOTA NANE WANAOLIPWA 'PESA CHAFU' DUNIANI...

1 Ronaldo (Real Madrid) Pauni Milioni 15 kwa mwaka
2 Lionel Messi (Barcelona) Pauni Milioni 13.41 kwa mwaka
3 Neymar (Barcelona) Pauni Milioni 12.57 kwa mwaka
4 Zlatan Ibrahimovic (PSG) Pauni Milioni 12.16 kwa mwaka
5 Radamel Falcao (Monaco) Pauni Milioni 11.74 kwa mwaka
6 Wayne Rooney (Man Utd) Pauni Milioni 11.57 kwa mwaka
7 Sergio Aguero (Man City) Pauni Milioni 11.31 kwa mwaka
8 Yaya Toure (Man City) Pauni Milioni 10.90 kwa mwaka

0 comments: