Samatta (kushoto) akiwa na Ulimwengu (kulia) na Sure Boy katika kikosi cha Taifa Stars |
Samatta na Ulimwengu wako mjini Accra na kikosi cha TP Mazembe ambako watakuwa wakifanya mazoezi kujiandaa na mechi dhidi ya Setif na Watanzania hao wanaonekana kuwa tegemeo la ushambuliaji kwa kushirikiana na Tresor Mputu na Mzambia, Given Singuluma.
Katika kikosi hicho kilichoondoka mjini Lubumbashi, juzi na kutua Kinshasa kwa muda kabla ya kumaliza safari yake jijini Accra, kocha wa Mazembe aliamua kumuacha
0 comments: