MBUNGE WA CHADEMA ATOLEWA BUNGENI NI BAADA YA WABUNGE WA CUF KUTAKA KUMPIGA



Mbunge wa Nyamagana(Chadema), ambaye ni Waziri Kivuli wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Ezekia Wenje, akitolewa nje ya Ukumbi wa Bunge na askari wa Bunge huku akionyesha alama ya ‘V’, baada ya wabunge wa CUF kutaka kumpiga, kutokana na hotuba yake waliyodai kuwaudhi wabunge hao. Picha na Emmanuel Herman.

0 comments:

MZUMBE SECONDARY YAFUNGWA...WANAFUNZI WAPEWA SIKU MBILI WAPOTEE KATIKA MAZINGIRA YA SHULE

Hii ndiyo kazi ya kuwazuia wanafunzi wenye vipaji wa shule ya sekondari Mzumbe iliyopo wilaya ya Mvomero baada ya wanafunzi hao kuandamana usiku wa manane kwenda kwa mkuu wa mkoa wa Morogoro
Wananfunzi wakidato cha kwanza hadi cha sita katika shule ya sekondari Mzumbe Morogoro wamelazimika kuandamana kwenda ofisi ya mkuu wa mkoa wa huo wakishinikiza kuboreshewa huduma muhimu.Maboresha wanayodai kuboreshewa shuleni hapo ni pamoja na miundombinu, kuondoa ubadhirifu, uongozi mbovu na kukomeshwa vitendo vya lugha chafu zinazo tolewa na baadhi ya walimu.Maandamano hayo yalizimwa mapema asubuhi baada ya jeshi la polisi kulazimika kufika katika eneo lasangasanga barabara kuu ya Iringa Morogoro ambapo maandamano hayo yalikuwa yamefika kuelekea.......

0 comments:

MAGAZETI YALEO MAY 31 2013

14 b3187

0 comments:

HUYU NDIYE KOCHAMPYA WA CHELSEA ALIEPEWA DILI YA PAUNDI MIL 40


Jose Mourinho Ametangazwa Kama Kocha mpya wa Chelsea chini ya mkataba wa miaka 4 wenye thamani ya Pauni milioni 40. Jose alikuwa Uingereza kwa siku mbili na ndani ya siku hizi ndio jana walikubaliana na uongozi wa club ya chelsea kutia wino kwenye mkataba huo. Awali Jose alisema anakuja Uingereza kwenye mchezo wa Crystal Palace na Watford Uliofanyika Wembley Jumatatu Iliyopita Lakini ukweli ni kwamba alikuwa anakuja kwa ajili ya.......

0 comments:

MAADHIMISHO YA SIKU YA KIMATAIFA YA WALINDA AMANI WA UMOJA WA MATAIFA TANZANIA YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO

Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Ndani Dk. Emmanuel Nchimbi akiwasili kwenye Mnara wa Mashujaa viwanja vya Mnazi Mmoja katika maadhimisho ya kumbukumbu ya Askari wa Kulinda amani wa Umoja wa Mataifa yaliyofanyika leo jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na mabalozi wa nchi mbalimbali pamoja viongozi wa dini. Mwakilishi wa Shirika la Chakula Duniani nchini Tanzania (WFP) Bw. Richard Ragan akiwasili kwenye viwanja hivyo jijini Dar.

IMG_0169
Mwakilishi wa Shirika la Chakula Duniani nchini Tanzania (WFP) Bw. Richard Ragan akiwasili kwenye viwanja hivyo jijini Dar es Salaam kushiriki kwenye maadhimisho ya kumbukumbu ya Askari wa Kulinda amani wa Umoja wa Mataifa.
IMG_0231
Mgeni rasmi Waziri Mambo ya Ndani nchini Dk. Emmanuel Nchimbi, Mwakilishi wa Shirika la Chakula Duniani nchini Tanzania (WFP) Bw. Richard Ragan na Kanali Dominic Mrope wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wakitoa heshima kwa wimbo wa mataifa kwenye maadhimisho hayo.
IMG_0259
Mgeni rasmi Waziri Mambo ya Ndani nchini Dk. Emmanuel Nchimbi akielekea kuweka shada la maua kwenye Mnara wa Mashujaa ikiwa ni ishara ya kuwakumbuka askari wa kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa walipoteza maisha wakiwa kazini.
IMG_0267  
Mh. Dk. Emmanuel Nchimbi akiweka shada la maua kwenye Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa uliopo katika viwanja vya Mnazi Mmoja wakati wa maadhimisho ya kuwakumbuka Askari wa Kulinda Amani wa Umoja wa mataifa walipoteza maisha wakiwa kazini.ANGALIA PICHA NA MATUKIO ZAIDI.......
IMG_0269Mgeni rasmi Mh. Dk. Emmanuel Nchimbi akitoa heshima mara baada ya kuweka shada la maua kwenye mnara huo.
IMG_0271
Mwakilishi wa Shirika la Chakula Duniani nchini Tanzania (WFP) Bw. Richard Ragan akielekea kuweka shada la maua kwenye maadhimisho ya kuwakumbuka Askari wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa yaliyofanyika leo kwenye mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa uliopo viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar.
IMG_0274
Mwakilishi wa Shirika la Chakula Duniani nchini Tanzania (WFP) Bw. Richard Ragan akiweka shada la maua kwenye mnara huo.
IMG_0281
Kanali Dominic Mrope wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akiweka shada la maua kwenye mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa kwa niaba ya Meja Jenerali Salum Mustafa Kijuu wakati wa maadhimisho ya siku ya kuwakumbuka Askari wa kulinda Amani wa Umoja wa mataifa yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja leo.
IMG_0284
Kanali Dominic Mrope wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akitoa heshima zake mara baada ya kuweka shada la maua.
IMG_1145
Mmoja wa askari wa JWTZ akipendisha bendera ya Umoja wa Mataifa kama ishara ya kumbukumbu ya Askari wa Umoja huo wanaolinda Amani katika nchi mbalimbali za Afrika.
Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Ndani Dk. Emmanuel Nchimbi aki......

0 comments:

RAIS DK. SHEIN AKUTANA NA MADAKTARI WA KICHINA WALIOWAHI KUFANYA KAZI TANZANIA

drshein 963d0
Raisi wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akikutana na madaktari wa kichina ambao waliwahi kufanya kazi za kitabibu Tanzania. Dr Shein ambaye yupo china kwa ziara ya kikazi alikutana na madaktari hao kwenye mji wa Nanjing uliopo kwenye jimbo la Jiangsu.

0 comments:

KAMATI YA MISS TANZANIA YAKUTANA NA WAREMBO WA KIGAMBONI

     Warembo wa Redd's Miss Kigamboni wakiwa katika pozi



Kamati ya Miss Tanzania ikiwa katika picha ya pamoja na warembo wa Redds Miss Kigamboni
  Warembo wa Redd's Miss Kigamboni wakiwa katika pozi Kamati ya Miss Tanzania ikiwa katika picha ya pamoja na warembo wa Redds Miss Kigamboni Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga akizungumza na warembo wanao........wania taji la Redd’s Miss Kigamboni wakati alipotembelea kambi yao ya mazoezi jijini Dar es Salaam.


Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga akizungumza na warembo wanaowania taji la Redd’s Miss Kigamboni wakati ali

0 comments:

MAGEZETI YA LEO ALHAMISI MAY 30 2013


.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

0 comments:

VAZI LA KANGA LAPETA UINGEREZA

Image




0 comments:

TANESCO WALIA NA WEZI WA UMEME

Maofisa wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO), Mkoa wa Kinondoni Kaskazini, wakijiaandaa kukata umeme katika nyumba namba 604, Mtaa wa Msisiri Mwananyamala baada ya kubaini wizi wa umeme katika nyumba hiyo, ambapo pia ilikutwa mita ilitoka eneo jingine bila idhini ya shirika. (Picha na Charles Lucas)

0 comments:

SITTA,MWAKIEMBE, NA MAGUFURI KUGOMBEA URAIS 2015


*Sitta, Mwakyembe, Magufuli na Membe katika mizani ya uadilifu
*Dk. Bana asema wanamvuruga Rais Kikwete, wamepwaya kiuongozi
*Prof. Safari awaita matapeli wa kisiasa, Dk. Slaa awapuuza
                                                                                                         
SIKU moja baadaSIKU moja baada ya Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta kutangaza timu inayoundwa na kundi lake kuwania ukuu wa dola mwaka 2015, maswali yameibuka kuhusu uadilifu wa timu hiyo.Juzi wakati akizungumza katika kongamano la Mawasiliano katika Nyanja ya Digitali la wanafunzi wa idara ya uhusiano na Masoko wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (SAUT) jijini Mwanza, Sitta aliitaja timu hiyo inayoundwa na watu wanne kuwa mmoja wao atawania urais katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015.Alisema wanaounda timu hiyo ni Waziri wa.......

0 comments:

MAGAZETI YA LEO JUMATANO MAY 29 2013

0 comments:

FLAVIANA MATATA MAMBO YAMNYOKEA SOUTH AFRICA

MAMBO yamezidi kumnyookea mwanamitindo nyota wa kimataifa wa Tanzania, Flaviana Matata, baada ya kuingia mkataba wa kutangaza nguo za kampuni inayoongoza nchini Afika Kusini na Mashariki ya Kati, Truworths.Truworths inaongoza kwa kuuza nguo za jumla na rejareja siyo Afrika Kusini tu, ambako kuna maduka ya kuuza na kusambaza zaidi ya 400 na kuwapa kibali cha kufanya biashara hiyo katika nchi 14 za Mashariki ya Kati na Afrika. Hatua ya Flaviana kupata nafasi hiyo, imetokana na jina lake katika masuala ya maonesho mbalimbali ya mitindo katika nchi hiyo, Uingereza na Marekani ambako ndiko anafanyia kazi kwa sasa.

0 comments:

PICHA ZA HOSPITALI AMBAYO MWILI WA MANGWEA UMEIFADHIWA


.


Msanii Albert Mangwea alifaliki siku ya Jumanne nchini South Africa katika hospitali ya ST  Helen Joseph Hospital iliyoko Johannesburg

0 comments:

MAMA ALIYEJIFUNGUA WATOTO WA5 ARUHUSIWA KUTOKA WODINI

Bi, Jane Mlela pichani akiwa na mmoja kati ya watoto wa tano aliyejifungua kabla ya watoto hao hawajafariki

0 comments:

WACHEZAJI WA KIGENI SIMBA SC, YANGA NA AZAM KIKAANGONI TFF


Joackins wa Atudo wa Azam
KLABU za Azam FC, Simba SC na Yanga SC zinaweza zikalazimika kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni katika vikosi vyao kwa ajili ya msimu ujao kutoka watano hadi watatu, iwapo kikao cha pamoja kati ya Klabu za Ligi Kuu na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kitaafiki kanuni mpya, iliyofikiwa katika Azimio la Bagamoyo miaka mitatu iliyopita.Ilikubaliwa katika Azimio la Bagamoyo lililohusisha na viongozi wa klabu pia, kwamba kuanzia msimu wa 2013/2014 klabu zisisajili zaidi ya wachezaji watatu wa kigeni, lakini akizungumza na BIN ZUBEIRY leo mchana, Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah Malabeja amesema kwamba watakaa kwanza na Klabu kujadili suala hilo, ili......

0 comments:

RAIS WA REAL MADRID AHAIDI KUMPA RONALDO CHOCHOTE ATAKACHO

Power-brokers: Perez (above) and Zidane (below) want to unite Ronaldo and Bale at the Bernabeu
Bumper deal: Perez is prepared to break the bank to keep Ronaldo at Real 
 RAIS wa Real Madrid, Florentino Perez anajiandaa kumfanya Cristiano Ronaldo awe mchezaji anayelipwa zaidi duniani katika jithada za kumshawishi abaki Bernabeu, baada ya kuondoka kwa Jose Mourinho.
Perez amesema: "Ningependa Cristiano Ronaldo awe mchezaji anayelipwa zaidi duniani. Tunakwenda kufanya kila kitu katika mikono yetu kumfanya awe na furaha.Nyota huyo wa zamani wa Manchester United amekuwa akihusishwa na uvumi wa kurejea Old Trafford msimu ujao au kwenda kujiunga na Matajiri wa Ufaransa, Paris Saint-Germain - lakini Perez anapambana kumzuia Madrid kwa muda zaidi.......

0 comments:

MSANII WA BONGO FLAVA ALBERT MANGWEA AMEFARIKI DUNIA

MSANII maarufu wa nyimbo za 'hip hop' na Bongo Fleva, Albert Mangwea maarufu kama Man Ngwair aka Ngwair ametangazwa kuwa amefariki dunia leo akiwa nchini Afrika Kusini katika hospitali ya St. Hellen ya jijini Johanesburg.Kwa mujibu wa taarifa za redio mbalimbali jioni hii nchini, inadhaniwa huenda Ngwair amefariki dunia kutokana na matatizo ya matumizi ya dawa za kulevya.Aidha, taarifa kutoka kwa mmoja wa mtu wa karibu  wa Ngwair nchini humo, Hussein Original aliyepo mji wa Pretoria, alisema alikutwa amefariki wakati msanii mwenzake ‘M To The P’ alikutwa amepoteza fahamu majira ya......

0 comments:

MAGAZETI YA LEO JUMANNE MAY 28 2013

0 comments:

AU YAITUHUMU ICC KWAKUIANDAMA AFRICA

 
Muungano wa Afrika umeituhumu mahakama ya kimataifa ya ICC kwa kuwaandama wafrika kwa sababu ya rangi yao.AU inapinga hatua ya ICC kusisitiza kusikiliza kesi za washukiwa wa ghasia za baada ya uchaguzi Kenya mwaka 2007, Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto kwa tuhuma za uhalifu dhidi ya binadamu.Waziri mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn aliyasema hayo akiongeza kuwa italalamika mbele ya Umoja wa Mataifa kuhusu hilo.Rais Kenyatta anatarajiwa kufika mbele ya mahakama hiyo mwezi Julai kusikiliza mashtaka dhidi yake kuhusu uhalifu dhidi ya binadamu.Aidha Kenyatta ame.........

0 comments: