SHIBUDA ATISHIA KUANDAMANA NA N'GOMBE HADI IKULU ADAI ZINANYANYASWA
Mbunge
wa Maswa Magharibi, John Shibuda anatarajia kuongoza maandamano
makubwa ya ng’ombe kutoka Lusumo Nyakabanga Mkoani Kagera, hadi Ikulu
kwa Rais Jakaya Kikwete ili........kupinga uonevu na manyanyaso wanayofanyiwa
wafugaji.
“Kama
watu wanasema ni porojo za Shibuda, basi wasubiri kama hotuba ya
Waziri Mkuu haitakuwa na majibu kwa wafugaji, lazima hayo yatatokea kwa
mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu, hawa nao ni binadamu
waambiwe basi kama hawatakiwi Tanzania,” alisisitiza.
Mbunge
huyo alitoa kauli hiyo juzi akiwa na uongozi wa wafugaji kutoka Kanda
ya Ziwa ambao wako Dodoma
About author: Unknown
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: