
Padri Evarist Gabriel
Mushi,aliyefariki kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana Jumapili
iliyopita,na amezikwa leo Kijijini Kitope Wilaya ya Kaskazini B
Unguja.Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed
Shein,pia alikuwepo akitoa salamu zake za Mwisho kwa mwili wa Marehemu Padri
Evarest Mushi,katika Kanisa la Minaramiwili Mjini Zanzibar
![]() | |||||||||
| Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akitoa salamu zake za Mwisho kwa mwili wa Marehemu Padri Evarest Mushi,katika Kanisa la Minaramiwili Mjini Zanzibar |

MAGAZETI YA LEO TAREHE 21/02/2013

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.


0 comments: