moja kati ya scene za ''TEMPTATION OF MY WIFE'' Filamu inayokisiwa kufanya vizuri kimauzo nchinicna nje ya nchi
 |
| HAPA BIBIE
FELISHA ALIKUA ANAPOKEA USHAURI TOKA KWA DIRECTOR ELIAS MAGESA PEMBENI
YAKE NI MAIN CHARACTER MWINGIENE HONEST a.ka MAZURA/ EVERYBODY AKIPITIA
SCRIPT KABLA YA KUSHOOT |
 |
| HAPA ANAONEKANA DIRECTOR MAGESA AKIFANYA YAKE, PEMBENI YUKO FELISHA, RAY SWING NA MZEE BULAH |
 |
| MAZURA HONEST AKIFANYA YAKE PAMOJA NA MTOTO WA KIMASAI SOPHIA KIFARU |
 |
| ANAONEKANA BLOG ADMINISTRATOR RODGERS, DIRECTOR NA IBRAHIM JAMAL KUHAKIKISHA UNAPATA PICHA NZURI NA SAUTI ILIYOTULIA |
 |
| MOJA YA SCENE TAMU KWENYE HII MOVIE |

Mmoja kati ya wasanii wa Arusha profession movie akiwa kati ya moja ya
mechi zao za kila fiki zidi ya watangazaji wa RADIO 5 ambapo waigizaji
hao walifanikiwa kufunga magoli matano kwa sifuri
Hii ni moja kati ya mechi iliyochangamsha zaidi baada ya baadhi ya wa dada kusaka mpira dakika90 uwanjani kama wanaume vile
Kiungo wa Arusha professional movies akipiga mpira baada ya faulo iliyofanywa na mchezaji wa RADIO 5 kwa mchezaji Dizzle
Wachezaji wa arusha professional movie wakipeana ongera baada ya kiungo wao Mwijage maarufu kama mzee wa fifty,fifty kuipatia timu hiyo goli
kiungo Abby akiwa na mpira wakati wa mechi hiyo
Huyu ndio mmoja kati ya wadada wa arusha professional movie alisakata mpira dakika 90 uwanjani na kuwaacha mashabiki hoi uwanjani
Managing Direct wa HABARI KAMILI KAMILI akiwaoji baadhi ya wasanii hao baada ya kumaliza mechi hiyo
| | | | | | | | | | | | | | | | | | | | | | | | | | | |
|
0 comments: